''HANDSOME WA KIJIJI'' previews

'HANDSOME WA KIJIJI'', Kipande kingine cha simulizi toka RJ company kwa mfumo wa filamu kilichowaweka watanzania masikio wima na macho juu kumshuhudia mmoja wa miamba kwenye tasnia yetu ya sanaa kwa upande wa filamu hapa nchini bwana kaka mkubwa, VICENT KIGOSI na kwa jina maarufu kwa watu mwite ''RAY'' kuigiza katika mazingira na mwonekano tofauti na tulivyo mzoea katika filamu zake zitokazo kila mwisho wa mwezi kuamkia mwezi mpya magazetini kuandikwa FILAMU ZA MWEZI HUU ni,......,....,.HANDSOME WA KIJIJI, na kadhalika
.
Basi bwana ,leo ntaanza na KAVA na mambo machache yaliyopo ndani yahusianayo na KAVA,

1.KAVA ; Hongera sana kaka Ray kwa wazo zuri la kutumia mavazi hasili kwani imedhihilika wazi ni kiasi gani anaukumbuka na kuenzi utamaduni wa mwafrika kwa jumla kwani si tanzania tu wana mavazi kama yaha ama hakuna kabisa kabira hapa tanzania livaalo hivyo na huenda ni afrika kusini,ghana,malawi na sehemu nyingine nyingi tu ila hilo si tatizo..asante tena kwahilo kaka. Hongera nyingine za kutosha zi mwendee aliye design KAVA hili pia.. ;KIUKWELI KABISA KWAHILO ALIFAUU KWA ASILIMI KUBWA....JE? upande mwinge wa shilingi kuna chapa gani juu ya hili KAVA? 

Kaka mkubwa hapa watanzania umetuchezea kiini macho kabisa ,kutudhiilishia namna gani UMEFELI KWA DHAMIRA YAKO KWA ASILIMIA KUBWA SANA KWANI KWENYE KAVA WATANZANIA UMEWAONESHA MANDHARI ILIYO TAWALIWA NA MILA,TAMADUNI NA DESTURI ZA MWAFRIKA ILA MWANZO MPAKA MWISHO WA SIMULIZI YAKO HAPAKUWA NA MDHARI HIYO HATA MOJA TUKIANZIA HAYO MAVAZI NA HATA MAZINGIRA YAANI SI KAMA YANAYO ONEKANA KWENYE KAVA HAPA JUU. ''MTI UPOPOLEWAO MAWE NDIYO WENYE MATUNDA ILA KWANINI WA KWAKE TU? BASI UTAKUWA UNAJAMBO KAMA KILA SIKU NDO HUO TU''...... ...
(Kutoka meza ya ADMIRED ONE)

Posted by Bongo Film Data Base on 12:47 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

3 comments for ''HANDSOME WA KIJIJI'' previews

  1. UKWELI TUMETOKA MBALI SANA KWENYE TASNIA HII YA FILAMU HAPA BONGO HATA KAMA KUNA MAPUNGUFU TUNAHITAJI KUJIPONGEZA. KOSA KUBWA NALOLIONA NI REALITY. HAKUNA KABISA UHUSIANO WA LOCATION NA COSTUME. UTAKUTA FILAMU NI BINTI TU KAANZA KAZI KAMPUNI FULANI ETI ANAMILIKI JUMBA KUBWA HALAFU YUKO PEKE YAKE. KINGINE NI MAVAZI MTOTO WA KIUME KUVAA HELENI SIO UTAMADUNI WETU KABISA HAPA TANZANI INABIDIB TUBADILIKE.TUWE REAL

  2. mie nina imani kubwa kabisa kupitia jukwaa hili la bongo film data base lenye sauti yenye umoja tunaweza kubadili kitu katika tasnia yetu hii ya filamu hapa tanzani inayowakilishwa na hao wachache huko nje.. TIMOTHY kwanini wao waweze na sisi tushindwe tuna nini?...

  3. Uwezo hupo tena mkubwa endapo tu tutaamua kwa nia moja, Kwanza tuwe na utambulisho wa filamu za kwetu tusicopy toka nchi yoyote ile. pili makampuni husika yakubali kuingia coast katika uandaaji wa filamu na si kukulupuka tu ili mradi iingie sokoni. tatu shirikisho la filamu liteue watu wakasome nje kuendana na tecknolojia au itafute wataalamu kutoka nje waje wapige watu msasa. nne tusiangalie wenye majina tu tuwatumie hata na machipukizi wenye vipaji vya kweli hii hasa ni kwa madistributors na audience ndio wenye ubaguzi. mwisho wasanii wakubwa wayafanyie kazi maoni ya wadau wasiridhike na ustaa. ushirikiano ni kitu cha msingi kukuza tasnia ya filamu hapa bongo

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign