FILAMU ZA BONGO NI MAIGIZO YA MAISHA YA WAPI?
Posted by bongofilmdatabase habari, kinyemi, sokoni 12:09 PMYASEMEKANA HUU NDO MWANZO NA ILIPOANZIA VAMPIRE DIARIES
Posted by bongofilmdatabase habari, kinyemi, mpya, mtandao, slide, wasifu, workshop 1:03 PM
The Vampire diaries tamthilia yakusisimua sana iliyojizolea mashabiki kibao hapo nchini na mataifa mengi dunia inasadikika kuwa mwanzo wa hadithi yake ilianza miaka 3,000 iliyopita ingawa haikuwahikuoneshwa mwanzo ilipoanzia yaani kile kizazi cha vampire kilitokea wapi na kwa madhumuni gani kilikuwa kwenye mapigano ya kila siku.
Sasa kuna tamthilia nyingine inayoitwa The Originals ambayo nayo kwa muda mfupi tu tangu itambulishwe kwenye kituo cha television cha huko marekani cha CW imekuwa ikizolea umaarufu pia na hata kuongeza idadi kubwa sana ya watizamazi katika television hiyo na inavyosemakana tamthilia hii inaonesha ni vipi na wapi hawa vampire wametokea na ni kwa sababu gani huwa katika mapigano ya kila siku hivyo huenda ndiyo ikawa mwanzo wa hadithi hii ya The Vampire diaries.
asante!
BADO SIKU CHACHE TU! karibuni wadau wote
Posted by bongofilmdatabase habari, kinyemi, mpya, mtandao, slide 4:36 PM
Asanteni sana wadau wetu kwa kutuunga mkono siku zote hizi tangu tuanzishe kurasa wetu huu wa Bongo Film DataBase..Tumesikiza na tuanyafanyia kazi maombi na ushauri wenu juu ya maboresho ya ukurasa huu uliyojikita katika utoaji habari na kuwaletea taarifa zilizosahihi toka ndani ya tasnia tuipendayo hii ya maigizo hapa nchini a.k.a bongo movie, swahiliwood, Tollywood, ila sisi tunaiita bongo film....baada ya muda mfupi tu tutaongeza wigo wa utoaji habari zetu kutoka blog mpaka kuwa website.. BADO SIKU CHACHE TU
(Taarifa) Mini ZIFF na Filamu za Bongo
Posted by bongofilmdatabase kinyemi, slide 4:41 PM
MINI ZIFF 2013 inafanyika sambamba na Sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Tamasha hili dogo litafanyika tarehe 10 -12 Jan, 2014 na kama kawaida ZIFF itatoa tuzo 10 za Filamu kwa waliofanya vizuri kwa mwaka 2013 katika filamu za Kiswahili (Bongo Movie). Tuzo zitakazotolewa ni Muigizaji Bora wa Kiume na Kike, Muongozaji Bora, Filamu Bora ya Mwaka, Muigizaji anayechipukia, Filamu bora katika Sauti, Filamu bora katika Hadithi, Balozi bora wa Filamu za kitanzania, Kampuni au mtu aliyetoa mchango mkubwa katika Tasnia hii kwa mwaka huu na Tuzo ya Heshima. Tamasha hili dogo litajumuisha filamu za kitanzania peke yake (Bongo movies) ilikuendelea kutoa mwamko kwa watengenezaji filamu wa Tanzania kufanya vyema katika tasnia hii, Tamasha hili ni utangulizi wa tamasha kubwa la ZIFF litakalofanyika 14 – 22 Juni, 2014.
Mini ZIFF itaonesha filamu kwa siku mbili na siku ya mwisho Tuzo zitatolewa kwa walioshinda, pia tunategemea kuwaalika wasanii mbalimbali maarufu kutoka hapa Tanzania kama JB, Cloud, Steve Nyerere, Ray, Makombora, Simon Mwakifamba, Monalisa, Wema Sepetu, Irene Uwoya, Lulu na wengine wengi.
Pia tunategemea kufanya show kabambe ya muziki baada ya kutolewa kwa tuzo, wasanii watakaopanda jukwaani watatangazwa hapo baadae. Kwa wale wote wanaotaka kuleta kazi zao basi walete sasa ila ziwe ambazo zimetoka mwaka 2013 tu. Wasiliana na Ibra 0713300997(DAR) au Mohd 0778685676 (ZNZ).
MINI ZIFF 2013 inaletwa kwa udhamini mkubwa wa ZUKU, Push Mobile, Azam Marine, Filamu Central Clouds TV kupitia kipindi cha Take One na Clouds FM kupitia kipindi cha Leo Tena.
chanzo: DJ Choka
asante!
NAIROBI HALF LIFE INAYOMTAMBULISHA SANA KIMATAIFA MWONGOZAJI THOSH KUTOKA KENYA
Posted by bongofilmdatabase habari, kinyemi, sli 3:16 PMWAIGIZAJI (WAKIUME) KUMI WALIOLIPWA ZAIDI DUNIANI KWA MWAKA HUU 2013
Posted by bongofilmdatabase habari, kinyemi, slide 1:36 PM1. Robert Downey Jr.
$75 million
The Avengers was the third highest-grossing movie of all time and no star benefited more from that than Robert Downey Jr. Tony Stark might not have been the leader of the group (that honor belongs to Captain America) but Downey was the only indispensable actor which meant he was able to demand the most money. As long as he's willing to keep putting on the Iron Man suit, Downey will remain one of Hollywood's highest-paid actors.
The Avengers was the third highest-grossing movie of all time and no star benefited more from that than Robert Downey Jr. Tony Stark might not have been the leader of the group (that honor belongs to Captain America) but Downey was the only indispensable actor which meant he was able to demand the most money. As long as he's willing to keep putting on the Iron Man suit, Downey will remain one of Hollywood's highest-paid actors.
2. Channing Tatum
$60 million
Tatum gets a lot of attention for his looks but this year the actor proved that he's also one of Hollywood's smartest businessmen. Tatum and director Steven Soderbergh self-financed the movieMagic Mike, based partially on Tatum's past as a male stripper. So when the $7 million film hit it big at the box office, they each took home millions. Now Tatum is growing Mike into a franchise complete with a Broadway show, a proposed bar in New Orleans and a sequel in the works.
Tatum gets a lot of attention for his looks but this year the actor proved that he's also one of Hollywood's smartest businessmen. Tatum and director Steven Soderbergh self-financed the movieMagic Mike, based partially on Tatum's past as a male stripper. So when the $7 million film hit it big at the box office, they each took home millions. Now Tatum is growing Mike into a franchise complete with a Broadway show, a proposed bar in New Orleans and a sequel in the works.
3. Hugh Jackman
$55 million
Singing, dancing, acting, getting ripped to kick some bad guy's butt, it's all in a day's work for Jackman. The actor, who is maybe best known for playing Wolverine in the many X-Men movies, showed last year that he can also move audiences to tears. As Jean Valjean in Les Miserables he scored an Oscar nomination and helped the musical earn $438 million on a budget of $61 million. Jackman is also a budding entrepreneur. His Laughing Man coffee and tea company donates all profits to charity.
Singing, dancing, acting, getting ripped to kick some bad guy's butt, it's all in a day's work for Jackman. The actor, who is maybe best known for playing Wolverine in the many X-Men movies, showed last year that he can also move audiences to tears. As Jean Valjean in Les Miserables he scored an Oscar nomination and helped the musical earn $438 million on a budget of $61 million. Jackman is also a budding entrepreneur. His Laughing Man coffee and tea company donates all profits to charity.
4.Mark Wahlberg
$52 million
Ted was one of the most unexpected hits of 2012. The comedy, about a teddy bear who comes to life and grows up, earned $550 million on a budget of $50 million and helped land stars Wahlberg, Mila Kunis and Seth MacFarlane on our list. Wahlberg has been as comfortable doing comedy as drama with films like The Fighter and he's been nominated for two Oscars along the way. But now he's stepping into his first blockbuster. He'll star opposite a bunch of car robots in the next installment of Transformers which hits theaters summer 2014.
Ted was one of the most unexpected hits of 2012. The comedy, about a teddy bear who comes to life and grows up, earned $550 million on a budget of $50 million and helped land stars Wahlberg, Mila Kunis and Seth MacFarlane on our list. Wahlberg has been as comfortable doing comedy as drama with films like The Fighter and he's been nominated for two Oscars along the way. But now he's stepping into his first blockbuster. He'll star opposite a bunch of car robots in the next installment of Transformers which hits theaters summer 2014.
5.Dwayne Johnson
$46 million
The former wrestler is now a bona fide star. For more than ten weeks in 2013, Johnson had a movie in the box office top 10. Fast & Furious 6 grossed more than $500 million in less than two weeks and G.I. Joe: Retaliation is yet another franchise that Johnson has saved. Now The Rock is moving into TV production with The Hero, a reality show where he challenges ordinary people to act like real heroes.
The former wrestler is now a bona fide star. For more than ten weeks in 2013, Johnson had a movie in the box office top 10. Fast & Furious 6 grossed more than $500 million in less than two weeks and G.I. Joe: Retaliation is yet another franchise that Johnson has saved. Now The Rock is moving into TV production with The Hero, a reality show where he challenges ordinary people to act like real heroes.
6.Leonardo DiCaprio
$39 million
DiCaprio's films might not be very cheery (the actor often dies in the end) but they are super profitable. The 2013 adaptation of The Great Gatsby, from director Baz Luhrmann, seemed like a tough sell. But with DiCaprio at the helm, the film easily topped $250 million at the box office making it Luhrmann's most successful movie ever. DiCaprio's biggest hit is still the 1997 film Titanic which is the second-highest grossing film of all time. And yes, he dies in the end.
DiCaprio's films might not be very cheery (the actor often dies in the end) but they are super profitable. The 2013 adaptation of The Great Gatsby, from director Baz Luhrmann, seemed like a tough sell. But with DiCaprio at the helm, the film easily topped $250 million at the box office making it Luhrmann's most successful movie ever. DiCaprio's biggest hit is still the 1997 film Titanic which is the second-highest grossing film of all time. And yes, he dies in the end.
7. Adam Sandler
$37 million
Maybe Sandler should do more animated films. The funnyman's live action flicks, like That's My Boy andJack and Jill, have struggled at the box office. But the animated Hotel Transylvania turned out to be Sandler's biggest hit to date grossing $347 million on an $85 million budget. Sandler makes our list this year because he can still demand top dollar for films like Grown Ups 2. The first movie, in 2010, was the second-highest grossing film of his career.
Maybe Sandler should do more animated films. The funnyman's live action flicks, like That's My Boy andJack and Jill, have struggled at the box office. But the animated Hotel Transylvania turned out to be Sandler's biggest hit to date grossing $347 million on an $85 million budget. Sandler makes our list this year because he can still demand top dollar for films like Grown Ups 2. The first movie, in 2010, was the second-highest grossing film of his career.
8. Tom Cruise
$35 million
The 2012 film Jack Reacher is a perfect example of why you should never underestimate Tom Cruise. The movie, about an ex-military sniper, got middling reviews and did mediocre business in the U.S. bringing in only $80 million. But overseas, Jack Reacher was a hit. The $60 million film grossed a total $217 million. With foreign box office more important than ever, Cruise is still one of Hollywood's biggest stars.
The 2012 film Jack Reacher is a perfect example of why you should never underestimate Tom Cruise. The movie, about an ex-military sniper, got middling reviews and did mediocre business in the U.S. bringing in only $80 million. But overseas, Jack Reacher was a hit. The $60 million film grossed a total $217 million. With foreign box office more important than ever, Cruise is still one of Hollywood's biggest stars.
9. Denzel Washington
$33 million
Washington was nominated for his sixth Oscar this year thanks to his performance in Flight as a hero airline pilot battling addiction issues. Washington took a cut to star in the risky film in exchange for a bigger cut if the backend. The bet paid off. The movie earned $162 million on a budget of $31 million.
Washington was nominated for his sixth Oscar this year thanks to his performance in Flight as a hero airline pilot battling addiction issues. Washington took a cut to star in the risky film in exchange for a bigger cut if the backend. The bet paid off. The movie earned $162 million on a budget of $31 million.
10. Liam Neeson
$32 million
Neeson earned more than some men who made the Celebrity 100, like Ben Affleck and Will Smith, but he didn't have their fame numbers. While he might not be in the spotlight as much as some other actors, he's quietly build one of the best careers in Hollywood thanks to low cost, high return films like Taken andThe Grey.
Neeson earned more than some men who made the Celebrity 100, like Ben Affleck and Will Smith, but he didn't have their fame numbers. While he might not be in the spotlight as much as some other actors, he's quietly build one of the best careers in Hollywood thanks to low cost, high return films like Taken andThe Grey.
Chanzo cha taarifa hii: Forbes.
KELELE ZA USIMAMIZI KAZI ZA WASANII MBONA HATUZIONI NA KUZISIKIA TENA?
Posted by bongofilmdatabase kinyemi, mpya, slide, workshop 1:08 PM
HII ni sehemu ya Hotuba iliyosomwa Bungeni na Mh. Dr. Fenela Mukangara kipengere kinachowahusu wadau wa filamu moja kwa moja kama kuna swali au mjadala utashiriki nasi kuhusu mustakabali wa tasnia ya filamu Swahiliwood.
.
.
Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha mwaka wa fedha 2011/12 Bodi ya Ukaguzi wa Filamu na Michezo ya Kuigiza imekagua jumla ya filamu 98 ambapo filamu za ndani 48 zilikaguliwa na kupewa madaraja. Kati ya hizo, 1 ilipewa daraja R ikimaanisha filamu hiyo hairuhusiwi kuoneshwa mahali pa hadhara.
Filamu zilizokaguliwa kutoka nje ya nchi ni 50, kati ya hizo, 3 zilipewa daraja R ambapo moja ni kutoka Liberia na mbili kutoka Norway. Aidha, Bodi imeweka alama maalum kwenye filamu zilizokaguliwa ikiwa ni moja ya njia ya kuhakikisha filamu zote zisizokaguliwa zinajulikana na wahusika kuchukuliwa hatua.
Katika kipindi cha mwezi Julai, 2011 hadi Juni, 2012 Bodi ilitoa vibali 21 vya kutengeneza filamu kwa Watanzania, na 84 kwa wageni.
Mheshimiwa Spika, Bodi ya Ukaguzi wa filamu na Michezo ya Kuigiza iliandaa na kufanya mafunzo elekezi kwa Maafisa Utamaduni wa Wilaya nchini kwa lengo la kuboresha Bodi za Filamu za Wilaya.
.
Mheshimiwa Spika, Bodi ya Ukaguzi wa filamu na Michezo ya Kuigiza iliandaa na kufanya mafunzo elekezi kwa Maafisa Utamaduni wa Wilaya nchini kwa lengo la kuboresha Bodi za Filamu za Wilaya.
.
Marehemu Steven Kanumba akiwa na watoto Jennifer na Patrick alioibua vipaji vyao ni mmoja kati ya watayarishaji angalau angeweza kutoa ajira kwa tasnia ya filamu.
Bodi ilisambaza Sheria na Kanuni za Filamu na Michezo ya Kuigiza kwa Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Wilaya nchini. Bodi imeendesha mijadala mitatu kwa wadau wakiwemo watengenezaji filamu na wasanii wa filamu. Vilevile, imefanya mkutano kuhusu Mustakabali wa Tasnia ya Filamu katika kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru na mkakati kwa kipindi cha miaka 50 ijayo.
.
.
Mkutano huu umesaidia wadau walioshiriki kubuni mikakati mbalimbali ya kuboresha tasnia hii. Mikakati hiyo ni pamoja na kuhakikisha kuwa filamu na michezo ya kuigiza vinalenga zaidi katika kutangaza utaifa, uzalendo, maadili na utamaduni wa Tanzania. Nia ni kuondokana na filamu ambazo zimemezwa na tamaduni za nje.
Vile vile, kuhakikisha kuwa tasnia ya filamu inakuwa rasmi ili ichangie pato la taifa na la msanii binafsi.
Mheshimiwa Spika, Bodi ya Filamu ilizindua Kanuni za Sheria ya Filamu na Michezo ya Kuigiza ambapo nakala 4,200 za Kanuni na nakala 4,200 za Sheria zilisambazwa.
.
Mheshimiwa Spika, Bodi ya Filamu ilizindua Kanuni za Sheria ya Filamu na Michezo ya Kuigiza ambapo nakala 4,200 za Kanuni na nakala 4,200 za Sheria zilisambazwa.
.
Aidha, utafiti uliofanywa na Bodi kwa kushirikiana na wadau wa filamu umebaini kuwepo kwa Makampuni 127 yanayojihusisha na uongozaji, utengenezaji, uzalishaji na usambazaji wa filamu kwa Mkoa wa Dar es Salaam pekee. Makampuni hayo yameajiri watu kati ya watatu (3) na kuendelea na kwa pamoja yanatoa wastani wa ajira 508.
ASANTE CHANZO: FILMU CENTRAL
ASANTE CHANZO: FILMU CENTRAL
DUME JEURI NI MKOMBOZI NA IMEIBUA HISIA CHANYA KWA WALIOPUUZWA
Posted by bongofilmdatabase bongo, kinyemi, mpya, workshop 12:03 PM
Uwezo wa msanii huzihilika pale apewapo nafasi bila kutiliwa shaka nae hujisikia ni msanii muhimu kwenye kuikamilisha filamu mpaka inakwenda sokoni, jambo hili limeelezwa na mwigizaji na mtayarishaji filamu wa siku nyingi Bw. Chiki Mchoma ama kwa jina lake maarufu la Teacher kutoka kwenye kisima na kiini cha wasanii waliyoijenga tasnia hii ya maigizo hapa nchini, Kaole Sanaa Group chenye makazi yake hapo kigogo sambusa na kambi yake kuu ilyopo hapo Magomeni mkwajuni.
Bw. Chiki aliendelea kuzungumza na kuweka bayana magumu alioyapitia katika utayarishaji filamu yake hii ya kwanza ya DUME jeuri kwa kusema; Uwezo wa wasanii niliowatumia himu kwenye filamu hii ulikuwa wa kati hivyo nikalazimika kuingia nao kambi kwa muda wa taklibani miezi miwili hivi na kuwapika vilivyo vijana hawa kwani nilikuwa nina imani yakuwa watafanya vile nilivyokuwa nategemea tangu awali.
Mazungumzo kati ya Bw. Chiki na mhariri wetu kwenye ukurasa huu wa Bongo film Database hayakuishia hapo, mwandishi akamtaka afunguke kidogo. Kwanini filamu zetu zina sura zilezile kila siku?. Bw. Chiki alikuwa na haya juu ya swali hilo; kiukweli namshukuru Mungu kazi imekubalika kwa kila aliyeiona hakika imeondoa dhana iliyojengeka kuwa filamu ni lazima wacheze kina fulani na
kwenye makava wakae wao..Dume Jeuri ni mkombozi halisi wa hisia Chanya za wasanii waliopuuzwa.
Asante Bw.Chiki Mchoma na Mungu abariki kazi ya mikono yako.
CHIKI: ''ISIPOKUPA RAHA IRUDISHE KWANGU FASTA NITAKURUDISHIA MKWANJA WAKO!!''
SIFA ZA KIJINGA ZINAVYOWAGHARIMU WASANII
Posted by George Iron kinyemi, mitandao, mitandaoni, mpya, slide, udaku 9:25 AMSIFA ZA WASANII ZINAVYOFICHA DONDA LA UMASIKINI LINALOHITAJI TIBA.
Unahitaji kumjua msanii wa filmu Tanzania? Unahitaji kujulikana kuwa na wewe ni msanii Tanzania?? Unataka upate sifa mtaani na jina lako likaririwe katika midomo ya watu!!
Kama jibu ni ndio basi na njia ni nyepesi.
Hakikisha unaandikwa magazetini!!! Hiyo ndiyo siri ambayo ipo wazi.
Utaandikwa kwa mabaya ndiyo usifiwe? HAPANA. Lazima yaandikwe mazuri.
Jawabu hili la kuandikwa mambo mazuri huwalazimisha wasiokuwa na mazuri ya kuandikwa wajibumbie visa vyao vya uongo ilimradi jamii iwatazame mara mbilimbili.
Sio jambo jipya kukutana na maandishi yakimnukuu msanii wa filamu akisema “ Sanaa imeniwezesha kujenga nyumba kijijini kwetu na hapa mjini nina kiwanja”
“Filamu zinaniingizia milioni mia tatu kwa mwaka!!”
“Kwa kawaida kila Scene nacheza kwa laki mbili.”
Haya ni baadhi tu ya maneno kutoka kwa wasanii wenyewe. Maneno ambayo yana ukweli kwa asilimia kumi tu!!! Wasanii ni waongo na wanauunda uongo kujipatia sifa zisizokuwa na tija.
Sifa hizi zinaifanya jamii kuwachukulia wasanii wote kuwa ni watu wa daraja fulani lisilofikika kirahisi, na wasiohitaji msaada tena.
Wasanii wa filamu Tanzania, wamekuwa wakitukuza sana sifa kuliko maendeleo. Hili ni jambo ambalo linatutofautisha sisi na wenzetu wa Afrika magharibi! Wao wanatanguliza mbele maslahi binafsi katika fani hiyo, kisha sifa hujileta zenyewe bila kutafutwa. Hii hali ni tofauti na Tanzania ambapo msanii kwa pesa yake ananunua sifa za kijinga.
Kuna wakati elimu dunia ndogo waliyonayo wasanii inachangia haya kutokea. Elimu ambayo ingewawezesha kuithamini kesho yao kuliko LEO wanayoipigania kila siku.
Mwisho wa mapigano haya ya kuihangaikia LEO badala ya kuitazama KESHO. Wasanii wengi wakishaupoteza ule umaarufu wa kununua enzi ambazo nyota zao zinang’ara sasa yule ndugu yetu aitwaye umasikini anawaumbua. Licha ya kujificha sana hawawezi kujificha milele. Shida zikiwaumbua ndipo hukiri kuwa sanaa hailipi. Huyo anayekiri hivyo anasahau miaka kadhaa nyuma alijitapa kuwa hakuna muigizaji ana gari la thamani kama la kwake, ama hakuna msanii wa filamu anayemiliki nguo za bei ghali kama yeye. Sasa analia tena!!! Donda linakuwa komavu na sasa halina tabibu!! Lazima liendelee kuchimbika mwishowe anakufa maskini na tunabaki na neno moja tu. Alikuwa muigizaji mzuri sana!!
Neno hilo lina maana gani kwa marehemu???
LAITI KAMA: Wasanii wangetambua kuwa maisha ya msanii ni kujifunza kila siku ili uwe bora. Basi wangejifunza kwa wenzao ambao walizichezea nafasi mwishowe donda likawaumbua lilipokomaa.
LAKINI wasanii wa jana na wale wa leo, afadhali wa JANA walikuwa na kisingizio kuwa sanaa ilikuwa burudani pekee. Wa sasa atasingizia nini iwapo sanaa ya sasa ni KAZI??
KAMA NAWE UNAPENDA KUTIZAMA FILAMU KWENYE SCREEN KUBWA RATIBA NDIYO HII.
Posted by bongofilmdatabase kinyemi, mitandao, mitandaoni, slide 11:53 PMWASANI WA KUBWA MTAONEKANA VITUKO MPAKA LINI?
Posted by bongofilmdatabase kinyemi 5:52 PM
Hivi
ni kwanini tunashindwa kuwa serious na films zetu kwa kuiga uzungu
usiokuwa na maana na kuonekana vituko huko huko kwa wazungu wenyewe! now
nilikuwa naangalia film mpya inaitwa Matilda ikiwa imetengenezwa na
kuongozwa na Mtitu Game but licha ya film kuwa nzuri ila aliyeharibu
film ni Hemed kwa mavazi na muonekano wake usioendana na scenes husika.
hili nimeshalizungumzia mpaka basi lakini hatubadiliki wabongo ni
kwanini? yaani mtu anaenda ofisini tena kaajiriwa na siyo ofisi yake bt
amevaa vipuli, mbaya zaidi amevaa nguo za kwenye sherehe au tafrija eti
ndiyo mavazi ya ofisini. nywele hazieleweki kabisa.
Kila Hemed anapoonyeshwa filamu inakosa msisimko kwa kuwa mavazi yake na muonekano haviakisi uhalisia hata kidogo. Sio Hemed tu mfano mwingine mzuri ni Ray karibia films zake zote anaharibu filamu kwa kung'ang'ania kuvaa vipuli sehemu zisizoruhusu pambo hilo. Hivi kwanini huwa hatuwaulizi watu wanaojua fashion hata kama nguo mtu anakuja nazo mwenyewe location! tutaendelea kuonekana vituko ktk films zetu mpaka lini?. Ni kweli ktk hali halisi mwanaume anaenda ofisini akiwa amevaa vipuli au tunafanya maigizo badala ya films. Director hawezi muongoza actor kama muonekano wake hauendani na character husika so lazima actor apambwe upya au nguo zibadilishwe. Leo ukiambiwa utaje best film directors in Tz jina la Mtitu Game haliwezi kukosekana kwenye top 5 au top 3 so sielewi ni kwanini huwa anaruhusu watu wauze sura in his films badala ya kazi. Generally film iko poa from story to direction.
Kila Hemed anapoonyeshwa filamu inakosa msisimko kwa kuwa mavazi yake na muonekano haviakisi uhalisia hata kidogo. Sio Hemed tu mfano mwingine mzuri ni Ray karibia films zake zote anaharibu filamu kwa kung'ang'ania kuvaa vipuli sehemu zisizoruhusu pambo hilo. Hivi kwanini huwa hatuwaulizi watu wanaojua fashion hata kama nguo mtu anakuja nazo mwenyewe location! tutaendelea kuonekana vituko ktk films zetu mpaka lini?. Ni kweli ktk hali halisi mwanaume anaenda ofisini akiwa amevaa vipuli au tunafanya maigizo badala ya films. Director hawezi muongoza actor kama muonekano wake hauendani na character husika so lazima actor apambwe upya au nguo zibadilishwe. Leo ukiambiwa utaje best film directors in Tz jina la Mtitu Game haliwezi kukosekana kwenye top 5 au top 3 so sielewi ni kwanini huwa anaruhusu watu wauze sura in his films badala ya kazi. Generally film iko poa from story to direction.
Mwandishi: Trim Saleem
MIONGONI MWA PICHA ZA UTOAJI TUNZO ZA APPRECIATION ZA MAREHEMU STEVEN KANUMBA.
Posted by bongofilmdatabase kinyemi 2:13 PM
kushoto anaanza meya wa kinondoni na katika ni millard ayo akipokea tunzo aliyotunikiwa kama mwandishi na mtangazaji wa redio aliyeshirikiana kwa karibu sana na familia ya marehemu steven kanumba tangu afariki nyota huyu wa filamu kwenye enzi za uhai wake. Millard alionesha bidi za hali ya juu sana pale alipoaanda makala maalumu iliyomuhusu marehumu Steven Kanumba kuanzia maisha yake kule kijijini mpaka maisha ya ustaa na mafanikio yake kisanaa hapa mjini.
Millard ayo na mama yake Steven Kanumba
Simon Mwakifamba-Rais wa TAFF akipokea tunzo kutoka kwa mama wa marehemu juu ya jukwaa.
Simon Mwakifamba-Rais wa TAFF akipokea tunzo kutoka kwa mama wa marehemu juu ya jukwaa.
WASANII HII SI YAKUACHA KUSOMA KWANI INAWAHUSU SANA
Posted by bongofilmdatabase kinyemi, slide, udaku, workshop 5:39 PM
MAKALA NA TRIM SALEEM (Trim Saleem)
Suala la usambazaji wa films za kitanzania ni moja ya vitu vinavyolalamikiwa sana kuwa limejaa upendeleo kwa wasanii wenye majina makubwa na wachanga kupuuzwa, vile vile hata hao wenye majina nao wananyonywa kama kawa licha ya
kwamba uharamia nao unaonekana kuota mapembe bila juhudi thabiti za kuuteketeza ingawa upo duniani kote. ila inatakiwa wasanii kuungana na pia kuishinikiza serikali ili ijenge majumba ya cinema maana haya huwa ndiyo chanzo kikubwa cha mapato ya films na hata kuamuliwa kama film ni hit or flop kutokana na kuwa wazi zaidi hasa katika suala la uuzaji wa tiketi kuliko uuzaji wa dvd, vcd, net au tv broadcast ingawa vyote hivi ni vyanzo vikuu vya mapato ila majumba ya sinema ndo hutegemewa zaidi.
Hapa nchini kuna majumba machache ya sinema lakini ukiyaangalia sana ni kama hayapo Tanzania maana mara nyingi yanaonyesha films za hollywood na bollywood/ india ingawa pia watengenezaji wa films za kitanzania wanaonekana kukosa ufahamu au weledi wa kutumia majumba haya, ila ikiwa wasanii wataungana na kufanya harambee za kukusanya pesa kwa kuanzia hata na majumba 2 au 3 kwa msaada wa serikali na wao wenyewe hili linawezekana na ni moja ya njia ya kuwashikisha adabu baadhi ya wasambazaji waliojaa unyonyaji huku wakikosa ubunifu wa namna ya kutangaza films ambazo sio za kimapenzi ili ziuzike yaani wasambazaji hawa ni kama hawana nia ya dhati ili films zetu zifike mbali ila mapenzi tu ndio films! suala hili linawezekana ikiwa wasanii wataacha kufanya sherehe au party zisizo na kichwa wala miguu kila siku na kuchangishana pesa nyingi kwenye harusi halafu ndoa zenyewe nyingi hazidumu zikiwa na lengo la kujionyesha tu mbele za watu ,na ikumbukwe kuwa kuna wafanyabiashara wazalendo wengi tu ambao wanaweza kuwa interested na hata kuwekeza kwenye project kama hizi ikiwa wataona wasanii wenyewe wana maono ya mbali ili kufanikiwa, na ikiwa hili litatiliwa maanani basi hata ndani ya miaka 5 ijayo tayari njia nzuri itakuwa ishaanza kuonekana kuliko hali ilivyo sasa msambazaji ndio huamua kuwa film imeuza au haijauza hata kabla haijaingia sokoni wakati wa kuliamua hili ni wanunuzi au mashabiki wenyewe baada ya kuona film sokoni .
Ukweli ni kuwa Tanzania ina nafasi kubwa sana ya kufanya vizuri kuliko hata Nigeria maana Nigeria yenyewe imeanza muda kidogo ila kuna films nyingi ukiziangalia zina makosa kibao kama za kibongo na hii ndiyo sababu licha ya Nigeria kuzalisha utiriri wa films kibao kila siku lakini nyingi zinashindwa kushindana na chache kutoka south Afrika ambazo zinatamba mpaka nje ya bara la afrika wakati za Nigeria nyingi zimeishia barani afrika. Ikiwa tutaendelea kutegemea uuzaji wa dvd na vcd kama chanzo kikuu cha mapato wakati india na hollywood huwa chanzo kingine baada ya majumba ya cinema hatuwezi kuwa mabilionea kupitia films hata siku moja na amin usiamini majumba ya sinema yakijengwa wasambazaji watakuwa na nidhamu kwa maproducer na hata kuwashobokea ili wafanye biashara kuliko sasa, pia haya majumba machache yaliyopo yataacha kasumba zao na kugeukia films za kitanzania. ila hili litawezekani kwa asilimia kubwa huku tukiwa tunazidi kuziboresha films zetu ili huko kwenye cinemas tusije kuwachosha watu kama ilivyo sasa mtu hata nyumbani kwake film ya kibongo inamboa . suala la kuwa sisi ndo kwanza tumeanza lisiwe kigezo cha sisi kuchukuwa miaka kibao ili kufika mbali maana walioanza zamani mazingira yao yalikuwa magumu kuliko ulimwengu wa leo. pichani ni THEA 1 wa waigizaji wetu wachache wenye viipaji halisi ambavyo vinatakiwa ili kuifikisha tasnia hii anga za kimataifa
ARNOLD MZIGONI TENA NDANI YA THE LAST STAND
Posted by bongofilmdatabase habari, kinyemi, mpya, slide 10:14 AM
kama unavyofahamu Mwigizaji ni mtu mmoja ya watu muhimu sana kwani wao ndiyo huibeba filamu aichezapo vizuri kwa ushirikiano wa karibu zaidi na jopo zima la utengenezaji wakiwemo waongozaji, wapigaji picha watunzi na waandishi miswada.
Katika ulimwengu wa uundaji filamu duniani huwezi kuacha kutaja watu kadhaa waliyochangi kwa kiasi kikubwa sana kukua kwa tasnia hii tangu enzi hizo yaani itakuwa ni ngumu sana kwa wapenzi wa filamu za kivita waliyokuwa wakifuatilia filamu za namna hiyo kwenye miaka ya tisini kuacha kumtaja kamanda Arnold Schwarzenegger.
sasa kamanda huyu anakuja tena na filamu nyingine inayokwenda kwa jina la THE LAST STAND ila Je! filamu hii huenda ikawa ndiyo filamu yake ya mwisho kuigiza katika maisha yake kama ilivyo batizwa kwa jina lake la THE LAST STAND?
Mwongozaji na mwandishi filamu toka korea ya kusini bwana Kim Jee Woon mwenye filamu taklibani kumi na tisa [19] tangu mwaka 1998 mpaka sasa. Kim na jopo lake wapo kwenye matayarisho ya utengenezaji filamu yake nyingine mpya aliyomshirikisha mmoja ya viongozi wa kubwa na maarufu sana nchini marekani Mh. Arnold Schwarzenegger. filamu hiyo inayokwenda kwa jina la THE LAST STAND inatarajiwa kuwa mtaani tarehe 18 mwezi wa kwanza mwaka 2013.
Peter Stomare.
Mwigizaji na mtayarisha filamu ambaye alitumia jina la Burrell kwenye filamu ya The Last Stand
Rodrigo Santoro[Frank Martinez]
moja ya waigizaji wenye kipaji kikubwa nchini Brazil aliyeng'ara kwenye jukwaa la filamu mwaka jana ambaye anatumia jina la Frank Martinez
Zach Gilford
Jina alilotumia ni Jerry Bailey
[Jerry Bailey]
Jaimie Alexander
Jina alilotumia kwenye filamu hii ni Saraha Torrance
Na hii hapa chini ndiyo resume ya director Kim Jee Woon tangu aanze kujishughulisha na mambo ya utayarishaji filamu mpaka sasa.
PRODUCTION DETAILS
In Theaters |
|
Genres | Thriller, Action/Adventure, Crime |
Distributors | Lionsgate |
DIRECTORS
Kim Jee-Woon | Director |
CAST
Arnold Schwarzenegger | Ray Owens |
Peter Stormare | Burrell |
Rodrigo Santoro | Frank Martinez |
Zach Gilford | Jerry Bailey |
Jaimie Alexander | Sarah Torrance |
Eduardo Noriega | Gabriel Cortez |
MFAHAMU ALIYEACHIWA MIKOBA NA KANUMBA LEO NA KAZI YAKE YA KWANZA
Posted by bongofilmdatabase kinyemi, mpya, slide, workshop 7:33 PMWADAU WA FILAMU KUKUTANA KESHO LEADERS CLUB.
Posted by bongofilmdatabase kinyemi, mpya, slide 9:29 PM
KESHO siku ya Jumatano tarehe 15/08/2012 kuanzia muda wa saa tano kamili asubuhi kutakuwa na mkutano mkubwa kwa Wadau wa filamu Jijini Dar Es Salaam utakaofanyika katika viwanja vya Leaders club, mkutano huu unatarajia kuwakutamisha wadau karibu wote wa tasnia ya filamu Swahiliwood, akiongea na FC Rais wa shirikisho la filamu Simon Mwakifwamba ameomba wadau wote kufika mapema kwa ajili ya mkutano huo.
“Kesho ni siku muhimu sana kwa kila mdau wa tasnia ya filamu kufika katika mkutano huu ambao tumeitisha kwa siku hiyo, kila msanii, muongozaji, msambazaji, anatakiwa kuwa amefika katika viwanja vya Leaders Club na kuhudhuria mkutano huo ambao kutakuwa na mambo mengi ya kujadili kwa siku hiyo,”anasema Mwakifwamba.
Makundi yanayotarajia kuwepo katika mkutano huo ni Waigizaji, Watayarishaji wa filamu, Waongozaji wa filamu, Waandishi wa muswada, walimu wa vikundi vya sanaa, watafuta mandhari, wapiga picha za filamu, wapambaji, Wasambazaji, wachekeshaji, na wadau wa filamu kwa ujumla.
Mnaombwa kuwahi mapema kwa ajili kwenda na muda ili ajenda zilizopangwa ziweze kuongelewa zote kwa maslahi ya tasnia ya filamu kwa ujumla wake nyote mnakarishwa.
CHANZO; FILAMU CENTRAL
LETS HOOK UP
.

.
slide
