WINO WA MWANDISHI

MZEE MAJUTO: WASANII WOTE HUSAFIRIA NYOTA YANGU

Iko wazi kabisa si kipaji tu cha mzee majuto ndicho wasanii wenzeka katika tasnia ya maigizo hapa nchini wanakihitaji katika filamu zao...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi
WINO WA MWANDISHI

MJUE VILIVYO HASHIM KAMBI

Kama unafuatilia sanaa ya filamu nchini Tanzania, sina wasiwasi kwamba sura unayoiona hapo juu unaitambua. Unachoweza kuwa hukijui ni j...

09 Aug 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

DINO: NAPENDA SANA KUFANYIWA MASAJI

Dennis Sweya ’Dino’. WIKI hii tunaye msanii wa filamu anayekwenda kwa jina la Dennis Sweya ’Dino’. Naye anajibu na kufafanua maswali mliyomuuliza, shuka nayo.
Filamu imefika wapi?
Unaionaje tasnia ya filamu kwa sasa, tunapanda, tuko palepale au tunashuka? Mama Swaumu, Dar, 0768579513
DINO: Kwa kweli tunapanda kwa sababu tulikotoka ni tofauti na tulipo.
Asilewe sifa
Napenda uigizaji wako na pia hauna skendo chafu, songa mbele kaka usilewe na sifa. Mwaipopo, Dar, 0653317354
DINO: Asante, nashukuru kwa kunipa moyo.
Kwa nini sinema za ngumi?
Dino wewe ni mkali wa kuigiza muvi za mapigano, kwa nini unapenda sehemu hizo tu? Elia, Iringa, 0718085308
DINO: Siyo kwamba napenda sehemu hizo tu, kama unafuatilia muvi zangu, nimecheza sehemu nyingi tofauti pia sehemu za mapigano nazipenda kutokana na mashabiki wangu kupenda hivyo.
Skendo ya ujambazi
Inatajwa wewe ni jambazi wa kimyakimya na unahusishwa na tukio la uvamizi wa Benki ya NMB Mwanga, je, ni kweli? Amani Ngossi, Zanzibar, 0757113834
DINO: Mimi ni mtu niliyekulia kwenye maadili, sijawahi kuwa mdokozi, kibaka wala jambazi na hilo tukio unalolizungumzia siyo kweli umeamua mwenyewe kuliongelea kutokana na jinsi ninavyocheza lakini siko hivyo.

Huyu anamjua
Anaishi Sinza, ana msichana amezaa naye watoto wawili. Beatrice, 0713931270
DINO: Kweli, lakini siyo msichana ni mke wangu na nimezaa naye watoto wawili.

Ushawishi wa mademu
Dino nakukubali sana mtu wangu, je, unajiepusha vipi na mademu katika fani yako? Salim Liundi, Dar, 0719319190
DINO: Najitaidi kuwaepuka kwa sababu namheshimu mke wangu na huwa nawaeleza ukweli kuwa ni vigumu kuwa nao kwani nina familia.

Ameoa?
Kaka Dino wewe ni kifaa, vipi umeoa? Naomba namba yako ya simu kwa maongezi zaidi. Rehema, Dodoma, 0718433131
DINO: Ni maongezi ya aina gani kwanza, je, ni ya kikazi au kimapenzi? Kama ni ya kikazi, nitakutafuta.

Nje ya fani
Kaka hongera kwa kipaji chako, je, tofauti na sanaa unafanya kazi gani nyingine? Mage, Muheza, 0713486286
DINO: Mimi ni mfanyabiashara.

Wanawake aliotoka nao
Umelala na wanawake wangapi na unapenda kufanyiwa nini na mpenzi wako ukiwa faragha? Msomaji, 0756207716
DINO: Idadi ni siri yangu, nikiwa faragha huwa napenda mke wangu anifanyie masaji.

Ufagio
Kaka Dino napenda sana unavyomudu kuigiza, yaani uko juu pia napenda siku moja nikuone kwa karibu. Msomaji, 0719166722
DINO: Karibu sana, tafuta muda nami nikiwa na muda tutaonana.

Posted by Bongo Film Data Base on 12:41 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for DINO: NAPENDA SANA KUFANYIWA MASAJI

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

HABARI MPYA INAVYOSEMEKANA WADAU
KUTA ZA FACEBOOK

WASAMBAZAJI HEWA

Wasambazaji hewa ni yupi kati huyu? A.Steps B. Proinkiini cha taarifa za filamu bongo...

19 Jun 2016 / 0 Comments / Soma zaidi

FILAMU ZA BONGO NI MAIGIZO YA MAISHA YA WAPI?

kiini cha taarifa za filamu bongo...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi

YASEMEKANA HUU NDO MWANZO NA ILIPOANZIA VAMPIRE DIARIES

The Vampire diaries tamthilia yakusisimua sana iliyojizolea mashabiki kibao hapo nchini na mataifa mengi dunia inasadikika kuwa mwanzo w...

28 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

BADO SIKU CHACHE TU! karibuni wadau wote

Asanteni sana wadau wetu kwa kutuunga mkono siku zote hizi tangu tuanzishe kurasa wetu huu wa Bongo Film DataBase..Tumesikiza na tuanyafa...

25 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
FILAMU MPYA

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

SIMULIZI

SIMULIZI SEHEMU YA PILI

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA..Bofya kiunga h...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI NA ADELA KAVISHE

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA.. Bofya kiu...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
BOLLYWOOD

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi
BONGO MOVIE

MONALISA, KING MAJUTO NA BARAFU NDANI YA DALADALA MOJA

Mwigizaji Yvonne Cherryl au mwite Monalisa kupitia ukurasa wake facebook amepost picha kadhaa zikimwonesha yeye na waigizaji wenzake...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

DUME JEURI NI MKOMBOZI NA IMEIBUA HISIA CHANYA KWA WALIOPUUZWA

Uwezo wa msanii huzihilika pale apewapo nafasi bila kutiliwa shaka nae hujisikia ni msanii muhimu kwenye kuikamilisha filamu mpaka i...

25 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
SERIES KALI

ZIJUE SERIES ZILIZOTAMBA NA ZINAZOBAMBA KWA SASA UKIANZIA NA YA ARROW ( Eps 1 )

Katika nyumba tano hapa mjini kwa sasa iishiyo vijana wapendao filamu zitokazo hollywood basi nyumba mbili kama sio tatu katika ya hizo ...

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA NA KUANDAA SCRIPTS MUUNDO WA HADITH SEHEMU YA PILI  2. MUUNDO WA ENE...

01 Feb 2012 / 2 Comments / Soma zaidi

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign