DADA AUNT HUYOO ANAOLEWAA! NA MAHALI.........




Muigizaji maarufu wa filamu nchini Aunt Ezekiel anatarajia kufunga ndoa mwezi wa 11 mwaka huu.

Muigizaji huyo ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa balozi wa Zuku Swahili Movies  tayari ameshavalishwa pete ya uchumba na mpenzi wake aitwaye Sunday.

Kutokana na hatua hiyo sasa muigizaji huyo amebadilisha dini na kuwa muislam na atakuwa akijulikana kama Rahma.


chanzo;leotainment

Posted by bongofilmdatabase on 1:07 PM. Filed under , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for DADA AUNT HUYOO ANAOLEWAA! NA MAHALI.........

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign