WINO WA MWANDISHI

MZEE MAJUTO: WASANII WOTE HUSAFIRIA NYOTA YANGU

Iko wazi kabisa si kipaji tu cha mzee majuto ndicho wasanii wenzeka katika tasnia ya maigizo hapa nchini wanakihitaji katika filamu zao...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi
WINO WA MWANDISHI

MJUE VILIVYO HASHIM KAMBI

Kama unafuatilia sanaa ya filamu nchini Tanzania, sina wasiwasi kwamba sura unayoiona hapo juu unaitambua. Unachoweza kuwa hukijui ni j...

09 Aug 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

WATALAAMU WA MAMBO WANASEMA PICHA HUZUNGUMZA ZAIDI ILA LEO TUONE SAUTI KIUNDANI KIDOGO


   Sauti:Ni kitu cha msingi sana kwenye filamu,sauti katika filamu inapokua nzuri inawafanya waangaliaji kuipenda filamu,unaweza kuwa na picha mbaya na watuwakaendelea kuangalia lakini inapotokea kuwa na sauti mbaya kila mtu hatamani kuendelea kuangalia filamu hiyo.hivyo basi sauti ni jambo la msingi zaidi ya video. Mojawapo ya chombo kinachotumika katika kuleta sauti kwenye filamu ni microphone au kipaza sauti. Kuna aina nyingi ya vipaza sauti lakini,katika filamu tunatumia aina 4 za vipaza sauti nazo ni: 


1. Boom mics

 2. Lavalier mics 

3. Handheld mics 

4. Wireless mics 


Katika lecture room ya leo tunaangalia kwa undani Boom mics inavyofanya kazi katika uzalishaji wa filamu. BOOM MICS huwa inakuwa imewekwa kwenye mti wake maalum unaojulikana kama boom pole ambayo inakuwa imebebwa na mtu anaejulikana kama boom operator.








 Ni vizuri katika boom lako uweke mic housing ambayo huwa na manyoya na kazi yake ni kupunguza upepo unaokuwepo location nah ii itasaidia kupata sauti iliyotulia.

 katika kutumia boom kuna ujuzi unaotakiwa kuwa nao kama Boom Operator na hii inasaidia kuweza kupata sauti nzuri na inayotakiwa,hapa namanisha kuwa mtu yoyote akipewa boom anauwezo wa kulitumia lakini je?anatumia kwa usahihi?kwa kuzingatia hilo basi angalia au soma kwa makini kanuni za kuweza kutumia boom lako vizuri kama unataka kuwa boom operator mzuri.
kwanza kabisa ili uwe Boom Operator mzuri unatakiwa kuwa na stamina,kuwa na uwezo mzuri wa kusikia na kuona ili iwe rahisi kuweza kubadilisha position ya Boom lako.

MAMBO YA KUZINGATIA KAMA BOOM OPERATOR

Usiweke Boom lako pembeni ya mdomo,hakikisha Boom linakuwa direct kwenye mdomo unaoongea.

 Kama kuna msanii zaidi ya mmoja hakikisha una twist boom lako kulingana na msanii anaeongea,hivyo basi kuwa mwepesi kuhamisha boom lako vizuri,kama inavyoonekana kwenye picha.

Hakikisha unafunga vizuri  XLR cable yako kwa kuzungusha kwenye boom pole kwa kutumia gaffer tape au elastic hair ties kwa ajili ya kuzuia c able zisichechecheze na kusababisha kusikika kwenye sauti na vile vile huwezi kuwa confortable kama waya unacheza cheza au umetambaa chini.

Tumia windjammer kwa ajili ya kuzuia upepo unapokuwa unafanya shooting nje au eneo la wazi.

Vile vile ili uweze kuwa Boom Oerator mzuri kuna kanuni au njia nzuri za ubabaji wa Boom mic ikiwa kwenye Boom Pole.

 OVERHEAD
 Sifa kubwa ya kushika boom hivi inakuwa rahisi kufanya movement yoyote ile kumsogelea msanii au kurudi nyuma kwenda pembe zote yaani kushoto na kulia lakini ubabaji huu huu wa boom ni vigumu kubeba  kwa muda mrefu.

BELLOW

Ni rahisi kubeba kwa  muda mrefu,lakini inahitaji umakini mkubwa kwa sababu ni rahisi kusikia sauti za movement ya miguu au kitu chochote kile kinachotembea wakati wa kurecord

SHOULDER

Rahisi sana kubeba na kuhamisha na kuweka juu (overhead) lakini kwa upande mwingine ni vigumu sana kufanya movement kwa haraka,mara nyingi movement yake huwa inakuwa slower.

PELVIC

Aina hii ya ushikaji wa boom unaweza kubeba kwa muda mrefu na ni free to scratch.

PISTOL GRIP

Kwa mtindo huu wa ubebaji wa boom,ni rahisi sana kufanya movement,ni nzuri kwa tight spaces lakini kwa upande mwingine ina limited angles.

Haya ni mambo ya msingi sana ambayo kama unataka kuwa Boom operator mzuri unapaswa kuzingatia hivyo kupata sauti nzuri kkatika filamu zetu tunazoziandaa.
  1. Angalia frame line ya camera kabla ya kuanza ku shoot,kisha weka boom mic yako karibu na msanii bila kuingia kwenye frame.
  2. hakikisha boom yako inakuwa direc pointed kwa msanii
  3. mara zote vaa over-ear headphones
  4. zingatia visual cues na feedback kutoka kwenye mixer na camera person (mpiga picha)
  5. Achia  XLR waya uwe mrefu kulingana na movement utakazokuwa unafanya lakini kuwa makini usijeukakutega na kushindwa kufanya movement.
  6. kwa kuwa utakuwa umesoma script hivyo itakuwa rahisi kujua ni movement gani zitakuwepo kwenye scene hiyo lakini hakikisha unakuwa na mawasiliano ya karibu na camera person ili usijekuingia kwenye frame line.
  7. funga vizuri cable zako ili kuzuia kusiwe na sauti kutokana na kujizungusha au cable kujigongagonga kwenye boom pole.
  8. hakikisha umepanua miguu yako kidogo ili uwe na balance,confortable kuweza kufanya movement zozote zile.
Ahsanten sana next class tutaangalia aina zingine za mic na jinsi zinavyofanya kazi kwenye production.
Nakaribisha maswali na maoni kuhusu tasnia hii ya filamu na sanaa kwa ujumla.


MAKALA HII NI KWA HISANI YA NYOTA MAGAZINE

Posted by bongofilmdatabase on 11:49 AM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for WATALAAMU WA MAMBO WANASEMA PICHA HUZUNGUMZA ZAIDI ILA LEO TUONE SAUTI KIUNDANI KIDOGO

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

HABARI MPYA INAVYOSEMEKANA WADAU
KUTA ZA FACEBOOK

WASAMBAZAJI HEWA

Wasambazaji hewa ni yupi kati huyu? A.Steps B. Proinkiini cha taarifa za filamu bongo...

19 Jun 2016 / 0 Comments / Soma zaidi

FILAMU ZA BONGO NI MAIGIZO YA MAISHA YA WAPI?

kiini cha taarifa za filamu bongo...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi

YASEMEKANA HUU NDO MWANZO NA ILIPOANZIA VAMPIRE DIARIES

The Vampire diaries tamthilia yakusisimua sana iliyojizolea mashabiki kibao hapo nchini na mataifa mengi dunia inasadikika kuwa mwanzo w...

28 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

BADO SIKU CHACHE TU! karibuni wadau wote

Asanteni sana wadau wetu kwa kutuunga mkono siku zote hizi tangu tuanzishe kurasa wetu huu wa Bongo Film DataBase..Tumesikiza na tuanyafa...

25 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
FILAMU MPYA

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

SIMULIZI

SIMULIZI SEHEMU YA PILI

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA..Bofya kiunga h...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI NA ADELA KAVISHE

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA.. Bofya kiu...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
BOLLYWOOD

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi
BONGO MOVIE

MONALISA, KING MAJUTO NA BARAFU NDANI YA DALADALA MOJA

Mwigizaji Yvonne Cherryl au mwite Monalisa kupitia ukurasa wake facebook amepost picha kadhaa zikimwonesha yeye na waigizaji wenzake...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

DUME JEURI NI MKOMBOZI NA IMEIBUA HISIA CHANYA KWA WALIOPUUZWA

Uwezo wa msanii huzihilika pale apewapo nafasi bila kutiliwa shaka nae hujisikia ni msanii muhimu kwenye kuikamilisha filamu mpaka i...

25 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
SERIES KALI

ZIJUE SERIES ZILIZOTAMBA NA ZINAZOBAMBA KWA SASA UKIANZIA NA YA ARROW ( Eps 1 )

Katika nyumba tano hapa mjini kwa sasa iishiyo vijana wapendao filamu zitokazo hollywood basi nyumba mbili kama sio tatu katika ya hizo ...

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA NA KUANDAA SCRIPTS MUUNDO WA HADITH SEHEMU YA PILI  2. MUUNDO WA ENE...

01 Feb 2012 / 2 Comments / Soma zaidi

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign