MOJA YA VIJANA WA KALI
11:39 AM
Jina;..Said Makukila
Umri;..19yrs
Kazi;...Actor/Director/story&script writer
Mchezo;. .Baragum, Tetemo, Gumzo, Funiko, Safari, (michezo ambayo ilirushwa na kituo cha televisheni TBC1 ndani ya awamu tofauti),
Umri;..19yrs
Kazi;...Actor/Director/story&script writer
Mchezo;. .Baragum, Tetemo, Gumzo, Funiko, Safari, (michezo ambayo ilirushwa na kituo cha televisheni TBC1 ndani ya awamu tofauti),
Filamu;..
amecheza filamu nne toka kampuni tofauti tofauti kubwa ambazo zilifanya vizuri sokoni kwa kazi zake kama
1.SILENT KILLER chini ya kampuni ya daniel basila film,
2.FAMILY DISASTER,
3. SECOND WIFE chini ya kampuni ya Rj company
4.THE DEVELISH chini ya kampuni ya whatever production film..............
Quote; kiukweli mie napenda kuuza sana wala si utani ila bila ya mashaiki wangu na wa tasnia ya filamu kwa ujumla Said Mkukila si kitu kabisa, hivyo napenda kuwaambia mashabiki na wadau wengine kuwa nawathamini na kuwapenda sana. naomba mtuunge mkono kwa yetu mazuri ndungu zangu...asante.
Posted by Bongo Film Data Base
on 11:39 AM.
Filed under
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0