WINO WA MWANDISHI

MZEE MAJUTO: WASANII WOTE HUSAFIRIA NYOTA YANGU

Iko wazi kabisa si kipaji tu cha mzee majuto ndicho wasanii wenzeka katika tasnia ya maigizo hapa nchini wanakihitaji katika filamu zao...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi
WINO WA MWANDISHI

MJUE VILIVYO HASHIM KAMBI

Kama unafuatilia sanaa ya filamu nchini Tanzania, sina wasiwasi kwamba sura unayoiona hapo juu unaitambua. Unachoweza kuwa hukijui ni j...

09 Aug 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

SERIKALI YATOA NEMBO YA KUZITAMBUA KAZI ZA WASANI SASA...


Nembo ya Bodi ya filamu
Nembo ya ukaguzi wa filamu, lazima kila filamu iwe na alama hii.
BODI ya ukaguzi wa filamu Tanzania kuanzia sasa itakuwa ikitokea alama ianyoonyesha kuwa filamu husika kuwa imekaguliwa na kupewa daraja husika, Wakiongea na FC mtendaji wa Bodi hiyo amesema kuwa alama hiyo ni muhimu sana kuonekana katika filamu yoyote inayoonyeshwa kwa jamii, na iwapo filamu itakosa alama hiyo basi ni filamu batili.
Nembo ya ukaguzi  wa filamu
Nembo ya ukaguzi wa filamu Tanzania.
“Nembo ambayo bodi inatoa ni kwa ajili ya utambuzi, inatakiwa ionekane katika filamu inapoaanza mwanzo, na mwisho wa filamu inapoisha, lakini pia alama inatakiwa kuonekana juu ya kava la filamu husika jambo litamtambulisha mnunuzi na mtu mwingine kuwa filamu hiyo imekaguliwa na kupewa daraja,”anasema mtendaji huyo.
Baada filamu kukaguliwa upewa daraja na kupewa kibali cha mwaka mmoja kwa ajili ya kuingia sokoni, wengi wanasema faida ya ukaguzi ni kupata filamu zenye maadili mema, pamoja na kutambua uwepo wa tasnia hii ya filamu Tanzania.
Wadau wa filamu
Picha ya Wadau wa filamu Bongo. wakiwa katika picha ya pamoja.
Gharama za ukaguzi ambayo imewekwa na Serikali ni Tshs. 1,000/= kwa dk. Lakini kwa filamu zinazotengenezwa na wageni hutozwa kwa fedha za kigeni, ni fursa nyingine kwa watayarishaji kuweza kupeleka filamu zenu zikaguliwe, kwani filamu hizo nyingi zimetengenezwa kwa kukiuka sheria ya utengenezaji filamu.
Kabla ya kutengeneza filamu ni lazima mtayarishaji apeleke muswada kwa ajili ya ukaguzi, baada ya ukaguzi wa muswada hatua inayofuatia ni uombaji wa kibali kwa ajili ya kurekodi filamu husika ambacho gharama yake ni TShs. 500,000/= na baadae tena filamu inarudishwa kwa ajili ya kukaguliwa na kupewa daraja.




CHANZO CHA HABARI; FILAMU CENTRAL
Asante!

Posted by Bongo Film Data Base on 11:47 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for SERIKALI YATOA NEMBO YA KUZITAMBUA KAZI ZA WASANI SASA...

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

HABARI MPYA INAVYOSEMEKANA WADAU
KUTA ZA FACEBOOK

WASAMBAZAJI HEWA

Wasambazaji hewa ni yupi kati huyu? A.Steps B. Proinkiini cha taarifa za filamu bongo...

19 Jun 2016 / 0 Comments / Soma zaidi

FILAMU ZA BONGO NI MAIGIZO YA MAISHA YA WAPI?

kiini cha taarifa za filamu bongo...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi

YASEMEKANA HUU NDO MWANZO NA ILIPOANZIA VAMPIRE DIARIES

The Vampire diaries tamthilia yakusisimua sana iliyojizolea mashabiki kibao hapo nchini na mataifa mengi dunia inasadikika kuwa mwanzo w...

28 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

BADO SIKU CHACHE TU! karibuni wadau wote

Asanteni sana wadau wetu kwa kutuunga mkono siku zote hizi tangu tuanzishe kurasa wetu huu wa Bongo Film DataBase..Tumesikiza na tuanyafa...

25 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
FILAMU MPYA

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

SIMULIZI

SIMULIZI SEHEMU YA PILI

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA..Bofya kiunga h...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI NA ADELA KAVISHE

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA.. Bofya kiu...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
BOLLYWOOD

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi
BONGO MOVIE

MONALISA, KING MAJUTO NA BARAFU NDANI YA DALADALA MOJA

Mwigizaji Yvonne Cherryl au mwite Monalisa kupitia ukurasa wake facebook amepost picha kadhaa zikimwonesha yeye na waigizaji wenzake...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

DUME JEURI NI MKOMBOZI NA IMEIBUA HISIA CHANYA KWA WALIOPUUZWA

Uwezo wa msanii huzihilika pale apewapo nafasi bila kutiliwa shaka nae hujisikia ni msanii muhimu kwenye kuikamilisha filamu mpaka i...

25 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
SERIES KALI

ZIJUE SERIES ZILIZOTAMBA NA ZINAZOBAMBA KWA SASA UKIANZIA NA YA ARROW ( Eps 1 )

Katika nyumba tano hapa mjini kwa sasa iishiyo vijana wapendao filamu zitokazo hollywood basi nyumba mbili kama sio tatu katika ya hizo ...

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA NA KUANDAA SCRIPTS MUUNDO WA HADITH SEHEMU YA PILI  2. MUUNDO WA ENE...

01 Feb 2012 / 2 Comments / Soma zaidi

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign