WINO WA MWANDISHI

MZEE MAJUTO: WASANII WOTE HUSAFIRIA NYOTA YANGU

Iko wazi kabisa si kipaji tu cha mzee majuto ndicho wasanii wenzeka katika tasnia ya maigizo hapa nchini wanakihitaji katika filamu zao...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi
WINO WA MWANDISHI

MJUE VILIVYO HASHIM KAMBI

Kama unafuatilia sanaa ya filamu nchini Tanzania, sina wasiwasi kwamba sura unayoiona hapo juu unaitambua. Unachoweza kuwa hukijui ni j...

09 Aug 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

KUIMARISHA MWONEKANO WA WASANII WA KIKE HUCHUKUA SEHEMU KUBWA YA BAJETI YA MAPATO YETU



MUIGIZAJI wa filamu anayefanya vizuri katika tasnia hiyo Latifa Idabu ‘Badra, anaamini kuwa uzuri kwa akina dada unachangia katika uigizaji ndio maana msanii wa kike anapoanza kufanya vizuri lazima awe mrembo kwa kiwango kikubwa, tofauti na fani nyingi ambazo unakuwa kazini lazima uwe katika hali
yoyote na watazamaji wanakuona kawaida tu bila hata kuwa na hofu au kuchukizwa na muonekano wako katika kazi hiyo.

Inasemekana sehemu kubwa ya Bajeti ya wasanii wengi kwa Bongo inaingia katika mavazi na vipodozi ikiwa na ukodishaji wa magari, kwani moja ya kishawishi kwa mtayarishaji ni msanii mwenye uwezo kimavazi kwa kila kipande (Scene) anachoshiriki katika filamu husika, hali hii inatokana na hali ya bajeti wakati wa uaandaaji kuwa finyu, jambo linalofanya mtayarishaji kumhitaji msanii mwenye mavazi ya kutosha.



“Msanii bwana lazima uwe mrembo, kuanzia mavazi yako na muonekano wako katika jamii na kazi yako kwa ujumla, huwezi kuwa msichana au msichana upo upo tu utacheza filamu gani na kuwateka watazamaji? Jiweke safi na kuigiza katika kiwango cha juu, kama naringia umbo langu mashallah si haba na hasa kama kuna nguo zake ambazo nazipatia kuvaa utanipenda,”anasema Badra.
Latifa Idabu
Badra katika pozi.
Badra ni moja kati ya wasanii wanaofanya vizuri katka tasnia ya filamu kwa sasa, filamu yake iliyong’arisha nyota yake ilikuwa ni Sanda Nyeusi, filamu iliyoigiza nje ya Jiji la Dar es Salaam huku msanii akiigiza katika uhusika wa aina mbili yaani mzimu na mtu hai, tayari msanii huyu ameshiriki filamu nyingi kama Home Village, Tifu la Mwaka Alfajiri na filamu nyingine nyingi zikiwepo zilipo mtaani na zilizo studio zikisubiri foleni.



CHANZO; Filamu Central.

Posted by Bongo Film Data Base on 9:16 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for KUIMARISHA MWONEKANO WA WASANII WA KIKE HUCHUKUA SEHEMU KUBWA YA BAJETI YA MAPATO YETU

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

HABARI MPYA INAVYOSEMEKANA WADAU
KUTA ZA FACEBOOK

WASAMBAZAJI HEWA

Wasambazaji hewa ni yupi kati huyu? A.Steps B. Proinkiini cha taarifa za filamu bongo...

19 Jun 2016 / 0 Comments / Soma zaidi

FILAMU ZA BONGO NI MAIGIZO YA MAISHA YA WAPI?

kiini cha taarifa za filamu bongo...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi

YASEMEKANA HUU NDO MWANZO NA ILIPOANZIA VAMPIRE DIARIES

The Vampire diaries tamthilia yakusisimua sana iliyojizolea mashabiki kibao hapo nchini na mataifa mengi dunia inasadikika kuwa mwanzo w...

28 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

BADO SIKU CHACHE TU! karibuni wadau wote

Asanteni sana wadau wetu kwa kutuunga mkono siku zote hizi tangu tuanzishe kurasa wetu huu wa Bongo Film DataBase..Tumesikiza na tuanyafa...

25 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
FILAMU MPYA

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

SIMULIZI

SIMULIZI SEHEMU YA PILI

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA..Bofya kiunga h...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI NA ADELA KAVISHE

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA.. Bofya kiu...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
BOLLYWOOD

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi
BONGO MOVIE

MONALISA, KING MAJUTO NA BARAFU NDANI YA DALADALA MOJA

Mwigizaji Yvonne Cherryl au mwite Monalisa kupitia ukurasa wake facebook amepost picha kadhaa zikimwonesha yeye na waigizaji wenzake...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

DUME JEURI NI MKOMBOZI NA IMEIBUA HISIA CHANYA KWA WALIOPUUZWA

Uwezo wa msanii huzihilika pale apewapo nafasi bila kutiliwa shaka nae hujisikia ni msanii muhimu kwenye kuikamilisha filamu mpaka i...

25 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
SERIES KALI

ZIJUE SERIES ZILIZOTAMBA NA ZINAZOBAMBA KWA SASA UKIANZIA NA YA ARROW ( Eps 1 )

Katika nyumba tano hapa mjini kwa sasa iishiyo vijana wapendao filamu zitokazo hollywood basi nyumba mbili kama sio tatu katika ya hizo ...

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA NA KUANDAA SCRIPTS MUUNDO WA HADITH SEHEMU YA PILI  2. MUUNDO WA ENE...

01 Feb 2012 / 2 Comments / Soma zaidi

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign