KUIMARISHA MWONEKANO WA WASANII WA KIKE HUCHUKUA SEHEMU KUBWA YA BAJETI YA MAPATO YETU
habari 9:16 PM
yoyote na watazamaji wanakuona kawaida tu bila hata kuwa na hofu au kuchukizwa na muonekano wako katika kazi hiyo.
Inasemekana sehemu kubwa ya Bajeti ya wasanii wengi kwa Bongo inaingia katika mavazi na vipodozi ikiwa na ukodishaji wa magari, kwani moja ya kishawishi kwa mtayarishaji ni msanii mwenye uwezo kimavazi kwa kila kipande (Scene) anachoshiriki katika filamu husika, hali hii inatokana na hali ya bajeti wakati wa uaandaaji kuwa finyu, jambo linalofanya mtayarishaji kumhitaji msanii mwenye mavazi ya kutosha.
“Msanii bwana lazima uwe mrembo, kuanzia mavazi yako na muonekano wako katika jamii na kazi yako kwa ujumla, huwezi kuwa msichana au msichana upo upo tu utacheza filamu gani na kuwateka watazamaji? Jiweke safi na kuigiza katika kiwango cha juu, kama naringia umbo langu mashallah si haba na hasa kama kuna nguo zake ambazo nazipatia kuvaa utanipenda,”anasema Badra.
CHANZO; Filamu Central.