NJOO NA UWE MTAYARISHAJI FILAMU WA KIMATAIFA LEO


TASNIA ya filamu kila siku inazidi kukua na kuelekea katika anga za kimaifa ili kukabili changamoto za soko la kimataifa watarishaji, waongozaji, wasanii na wadau wote kwa ujumla wanahitaji kufahamu, kujifunza zaidi mambo mengi ya utayarishaji na utengenezaji wa filamu bora ili kuweza kuingia katika ushindani zaidi.

Kwa kuliona hilo kampuni ya Wegos works ltd kwa kushirikiana na Ramoji Film City ya nchini India imeandaa mafunzo kwa ajili ya watengeneza filamu (Filmmaking & Acting workshop ) Tanzania, ni fursa nyingine kwa wadau wa filamu kutumia nafasi hiyo adimu ya kupata ujuzi zaidi kutoka kwa watalamu wa filamu kutoka Bollywood.

Wanafunzi
     (Picha ya wapiga picha wakiwa kazini.)
Location
Muongozaji na mkufunzi wa filmmaking mwenye uzoefu zaidi ya miaka kumi na mbili ataongoza mafunzo hayo ikiwa ni pamoja na fursa za kutafuta masoko kimataifa na njia za kufika sehemu zilizofanikiwa katika tasnia hiyo ya filamu, kama Bollywood na Hollywood, kwa wale wote wanaotakakushiriki katika mafunzo hayo WAWASILIANA na Mraibu kwa simu : +255715 520 520. TAFADHARI USIBEEP.
.



NYOTE MNAKARIBISHWA KWA MAENDELEO YA TASNIA YA FILAMU TANZANIA.

CHANZO;FILAMU CENTRAL

Posted by Bongo Film Data Base on 11:30 PM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for NJOO NA UWE MTAYARISHAJI FILAMU WA KIMATAIFA LEO

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign