NJOO NA UWE MTAYARISHAJI FILAMU WA KIMATAIFA LEO
habari, mpya, workshop 11:30 PM
TASNIA ya filamu kila siku inazidi kukua na kuelekea katika anga za
kimaifa ili kukabili changamoto za soko la kimataifa watarishaji,
waongozaji, wasanii na wadau wote kwa ujumla wanahitaji kufahamu,
kujifunza zaidi mambo mengi ya utayarishaji na utengenezaji wa filamu
bora ili kuweza kuingia katika ushindani zaidi.
Kwa kuliona hilo kampuni ya Wegos works ltd kwa kushirikiana na Ramoji Film City ya nchini India imeandaa mafunzo kwa ajili ya watengeneza filamu (Filmmaking & Acting workshop ) Tanzania, ni fursa nyingine kwa wadau wa filamu kutumia nafasi hiyo adimu ya kupata ujuzi zaidi kutoka kwa watalamu wa filamu kutoka Bollywood.
Kwa kuliona hilo kampuni ya Wegos works ltd kwa kushirikiana na Ramoji Film City ya nchini India imeandaa mafunzo kwa ajili ya watengeneza filamu (Filmmaking & Acting workshop ) Tanzania, ni fursa nyingine kwa wadau wa filamu kutumia nafasi hiyo adimu ya kupata ujuzi zaidi kutoka kwa watalamu wa filamu kutoka Bollywood.

(Picha ya wapiga picha wakiwa kazini.)
.
NYOTE MNAKARIBISHWA KWA MAENDELEO YA TASNIA YA FILAMU TANZANIA.
CHANZO;FILAMU CENTRAL