JE? KIBONGO BONGO Make-up NI KUUVAA UHUSIKA KATIKA MAZINGIRA YA KITANZANAI?



Make-up  kwa ujumla  tunaweza kusema na kumaanisha kitu chochote kitachotumiwa usoni au kwenye ngozi ya mwigizaji kufanikisha mwonekano unaokusudiwa. na kwa kufupi kabisa twawezasema waigizaji wote hutumia mapambo[make-up] pale awapo mbele ya akamera kwa dhumini la kupiga picha, kusudi lingine mbai na kutaka kuwa mwonekano fulani bali hutumia kuweza kujing'arisha wao na hata picha wapigazo. wakati mwingine make-up utumika kutengeneza sifa za mwonekano wa mwigizaji  kwa mfano pua ya bandia  iliyovaliwa na Nicole Kidman kwenye filamu ya The Hour kama Virginia Woolf  kama unavyona hapo kwenye hizo picha kwa juu utamwona Nicole katika mwonekano wake wa kawaida [picha namba 1] na picha namba 2 ni Nicole katika filamu ya The Hour akiwa amevaa uhusika wa Virginia Woolf yaani ule utofati wa mwonekano wake upo tofauti sana anavyokuwa katika maisha yake yale ya kawaida .


Make-up ndiyo vitu sahihi kabisa kutengenezea/kubumba majeraha,vidonda,na hata kumbadirisha mwigizaji awe anamwonekano wa jitu au kiumbe cha ajabu kifananacho na mwanadamu.
 Swali  kwa wadau wenzangu wa kitanzania ni vipi tunazitumia hizi make-up kwenye utengenezaji filamu zetu? au ndiyo utakwepa na kunijibu jibu la kila siku nisilolipenda la ''Eti! msanii mzuri ni yule anayevaa uhusika na kucheza uhusika wake kama anavyotakiwa katika uhalisia wa mazingira ya kitanzania.''



Posted by Bongo Film Data Base on 11:36 AM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for JE? KIBONGO BONGO Make-up NI KUUVAA UHUSIKA KATIKA MAZINGIRA YA KITANZANAI?

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign