TUSIHUKUMU KABLA HATUJAHUKUMIWA


Huyu ni Elizabeth Michael "Lulu", ambaye hadi sasa anahusishwa sana na kifo cha Steven Kanumba. Binafsi siwezi kumhukumu kwani hadi sasa haijathibitishwa kuwa anachohusishwa nacho ni kweli au laa. Na hata kama ikithibitika hivyo, bado BINAFSI siwezi kumlaumu kwa lolote lile, bali kujilaumu mwenyewe na Watanzania wenzangu kwani UKWELI ni kwamba kama Watanzania, tulijua matatizo yake muda mrefu sana, lakini kama Watanzania pia hatuwezi kusimama hadharani na kukiri kuwa tulitumia nguvu zetu katika kumuokoa binti huyu. Tulimuacha akawa anaogelea kwenye dimwbi alilochagua la skendo baada ya skendo, tukawa tunanunua magazeti kusoma skendo zake, na leo kila mmoja wetu anamnyooshea kidole. This is unfair to her.....RIP Kanumba...maandiko yametimia


Na.Rama S. Msangi 
asante!


Posted by bongofilmdatabase on 10:58 AM. Filed under , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

1 comments for TUSIHUKUMU KABLA HATUJAHUKUMIWA

  1. I'm congolese living in south africa.about Mr.kanumba,kifo ni kawaida.na hatuja mlaumu LULU.ila tusubiri uchuguzi wa serikali.wakati watukio lulu ndiye alikuwepo.na inasekana kulikuwa uvuto betwen theme.na ndio maana watu wananyoosha vidole kwa lulu.kanumba amekuwa marehema na ametuajiya zawadi nono za filam zake.

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign