TIMAMU AFRICA MEDIA WASIMAMIA WASANII KITAIFA NA KIMATAIFA

Timamu African Media, watayarishaji wa filamu ya Mdundiko,Kisate na nyingine zilizofanya na zinaendelea kufanya vizuri sokoni kwasasa. Kampuni hii inayoundwa na vijana wadogo tu wenye ndoto yakuona maisha ya sanaa ya maigizo yanakuwa yenye mafanikio hapa nchini na hata siku moja wasanii wakitanzania wanakabidhia bendera ya taifa letu kwenda kuipeperusha vilivyo kama wanamichezo wengine wanaofanya vizuri.

Timamu Casting Agency (TCA), Ndiyo kitu kipya kutoka kwenye kampuni hii ya utayarishaji filamu hapa nchini, usahili wa awali ulifanyika pale Atriums Hotel iliyopo sinza africasana, ilikuwa tarehe 21 mwezi wa sita mwaka huu, judges walikuwa ni Cloud 112, Dokii, Julieth samson Kemy, Costantino Solo (Mkufunzi Chuo Kikuu cha mlimani). 

Usahili kwa awamu nyingine utatangazwa siku si nyingi ili kuwapa nafasi zaidi wasanii wenye vipaji kuigia kwenye benki hii ya Timamu kwa lengo la kupata fursa ya vipaji vyao kunadiwa kitaifa na hata kimataifa.

Mtangazi akimwoji mmoja wasanii waliyofika kwenye usahili 




kwa mawasiliano na taarifa zaidi waweza kuwasiliana na  mkurugenzi mkuu Bw. Timoth Conrad kupitia kurasa wa facebook wa Timamu Africa Media
Asante






Posted by bongofilmdatabase on 11:28 AM. Filed under , , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for TIMAMU AFRICA MEDIA WASIMAMIA WASANII KITAIFA NA KIMATAIFA

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign