UKAHABA WA MAGAZETINI WAVURUGA MKUTANO WA TAFF NA WADAU PAMOJA NA WASANII PALE LEADERS CLUB
11:41 PM
Jamani hasira kitu kimoja cha ajabu sana kwa mwanadamu yeyote na asikwambie mtu bwana haijarishi ni mwana mke ama mwanaume ndungu yangu mwanadada jackline wolper alisibitisha hili wazi kuwa yeye ni mmoja ya watu wenye hasira kuyaruka maelezo haya na kupita wadada wote waliotajwa pale kwenye mkutano uliyofanyika leo kwenye viwanja vya wazi leaders club kuzuungumzia mikakati ya taff misimamo na tofauti zilizopo kati ya taff na bongo movie club iliyo jaa masta watupu na baada tu ya jackline kutajwa kuwa ni mmoja kati ya wadada wanaojiuza kupia magazeti ya udaku na kupata wanaume matajiri kupitia usuper star anaopata kwenye filamu anazocheza hapa bongo..wolper alijiaamini kupitiliza kuchukuwa uamuzi kumpandia rais wa taff moja kwa moja pale jukwaani alipokuwa anahutubia wamati uliyokuwapo pale viwanjani...
Posted by Bongo Film Data Base
on 11:41 PM.
Filed under
.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0