MAJID MWIIGIZAJI TOKA GHANA AFANANE NA MZEE WA KAMBI POPOTE (ANTONIO NUGAZ) ATISHIWA MAISHA NOLLYWOOD


Majid michael, mwigizaji na mwongozaji wa filamu  mzaliwa mwa humo nchini Ghana anaye kwenda kutimiza miaka 29 mwezi ujao tarehe 22.
Mwigizaji huyu kutokana na uchezaji wake wa filamu kuwa katika kiwango kikubwa sana kiasi cha kujivunia kile anachokifanya na kukiheshimu pia. mwaka jana alitia fola kwa kupotezea kwenda kufanya kazi nchini Nigeria kwasababu watayarishiji wa Nollywood wengi wao hawana taaluma na kazi ya utayarishaji filamu kitu mbacho kiliwakela sana nyota wa hapo Nollywood na wengine kifika wamuzi wa kumvutia waya (simu) na kumtumia ujumbe mfupi wa maneno kwa njia ya simu kutishia maisha kabisa, ujumbe ulisomeka kama ifuatavyo ''
you think you can come here and take away our livelihood?, and “Watch your back, your days are numbered”.  na moja kwa moja Majid alikwenda kwa mtu wake wakaribu mkewe kumweleza juu ya suala hilo, mkewe akamsisitizia abaki Ghana hapo hapo kwani bado anampenda na tena familia inamwitaji kwa sana..

Majid alifanikiwa funga ndoa miaka minne iliyo pita na sasa na kubarikiwa kupata watoto wa wili wa kike wanaowapenda Keira mwenye miaka mitatu na Zara wa mwisho.

                                                   V/S

 MTEMBEZIIIIIIIIIIIIII



Antonio nugaz  kijana aliye  na haiba nzurii tena yakuvutia mwenye asili ya pwani toka mji wa uliyosheheni mahaba Tanga kwa jina maarufu la mija wa waja leo waondoka leo japo amesoma Azania high school na sasa anaishi dar es salaam na  ni mtangazaji wa televisheni machachali wa kipindi kinachoelekea kutimiza mwaka mmoja sasa tangu kimeanzishwa na kuwa na mafanikio mazuri kwani kimeonekana kutolegalega tangu kimeanza cha kambi popote kinachorushwa katika kituo kijulikanavyo kwa jina la Clouds Television.


Watu mashuhuli na maarufu katika nyaja tofauti tofauti anaowapenda na vutiwa nao pia ni;.

  • rais wa tanzania,mh.Jakya Kikwete,
  • Rais wa marekani, Baraka Obama,
  • Denzel Washington(mwigizaji toka hollywood)


















































 WATALAMU WA MAMBO  WANASEMA HAWA NI MAPACHA  WA NJE.

Posted by Bongo Film Data Base on 8:14 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for MAJID MWIIGIZAJI TOKA GHANA AFANANE NA MZEE WA KAMBI POPOTE (ANTONIO NUGAZ) ATISHIWA MAISHA NOLLYWOOD

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign