WINO WA MWANDISHI

MZEE MAJUTO: WASANII WOTE HUSAFIRIA NYOTA YANGU

Iko wazi kabisa si kipaji tu cha mzee majuto ndicho wasanii wenzeka katika tasnia ya maigizo hapa nchini wanakihitaji katika filamu zao...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi
WINO WA MWANDISHI

MJUE VILIVYO HASHIM KAMBI

Kama unafuatilia sanaa ya filamu nchini Tanzania, sina wasiwasi kwamba sura unayoiona hapo juu unaitambua. Unachoweza kuwa hukijui ni j...

09 Aug 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

FILAMU CENTRAL; BILA YA RAY HAKUNA BONGO MOVIE

NI Wajibu wetu kuwapongeza wale wote ambao wamekuwa chachu ya tasnia ya filamu hapa Bongo, pamoja na mapungufu yaliyopo kuna watu ambao wanastahili pongezi za kipekee katika kuleta chachu na kujenga thamani ya tasnia hii ya filamu, bila woga basi pongezi hizi zimwendee moja kwa moja mpiganaji nambari moja Bongo Vincent Kigosi ‘Ray the Greatest’


Ray amekuwa ni moja kati ya chachu na mafanikio ya tasnia ya filamu Bongo, pengine kuna watu ambao wanaamini kuwa tasnia hii ya filamu ameishikilia kwa asilimia kubwa katika kuleta maendeleo, pamoja na kutengeneza filamu na kupigania maslahi katika filamu lakini pia yeye ndiye amekuwa mbunifu na mleta mabadiliko Bongo.


Kwa hili ukubali ukatae lakini ukweli unabaki pale pale,ndio maana siku moja nilikuwa nikiongea na mtu mmoja nikamwambia Ray ni dira ya tasnia ya filamu Bongo akakata lakini kuna siku yeye mwenyewe alikuja na kukiri kuwa kweli maneno yako uliyosema.
Kama leo hii mpiganaji huyu akisema kuwa tasnia hii ibadilike na kwenda katika hatua nyingine hakuna ubishi lazima tutafika tunakotaka kwenda, ni wazi kuwa jamaa anajua anachofanya naweza kumkataa Ray kwa sababu zangu ambazo si za msingi lakini linapokuja suala la chachu ya mabadiliko katika tasnia hii mtu huyu ni muhimu.

Awali nikiongea naye alinieleza kuwa hapo mwanzo alikuwa akitumia vifaa kwa kukodi lakini aligundua kuwa ni gharama na aliamua kusafiri kwenda nje kwa ajili ya kununua vifaa vyake kwa ajili ya Production, na baada ya kurudi Swahiba yake alikwenda naye Marekani kwa ajili ya kununua baadhi ya vifaa kwa ajili ya Production.
Mara nyingi Ray amekuwa akianza kufanya jambo na wengine wanafuatia, anastahili kupongezwa yeye ndiye aliyekuwa wa kwanza kabisa kuamini kuwa wasanii wanaweza kuwa watayarishaji na alifanya hivyo japo wapo waliokuwa wakisema hataweza na kurudi kwa Mtitu Game, lakini jamaa alisimama imara.
Msanii huyu baada ya kutoka na filamu ya Johari na kufanya vizuri kupita maelezo alianza harakati zake katika kupigania maslahi yake na hatimaye alitengeneza filamu ya Fake Pastor lakini hakubweteka hapo kwani alikuwa hajafika na aliamua kama yeye kutoa filamu ya Shakira.
Baada ya muda aliingia mkataba na Mtitu kwa filamu kadhaa na alirudi na kuendelea na kuamua kufungua kampuni yake kwa ushirikiano na msanii mwenzake Blandina Chagula hapo ilizaliwa kampuni ya RJ Company ambayo inasumbua Bongo na nchi jirani katika masuala ya filamu.

Najaribu kuongelea sehemu mbalimbali ambazo Ray alipitia ili kukupa uhalali wa kumtangaza kama mwanaharakati na shujaa katika kuleta mabadiliko katika tasnia ya filamu Bongo jamaa ni mpiganaji wa kweli lakini pia mwenye huruma na wasanii wengine kwani sehemu aliyopo ukaribisha na wengine.
Baada ya kampuni ikumbukwe kuwa alitumia nafasi ya ubunifu kuweza kubandika stika katika gari lake la Production na wengine walifuatia, kufanya hivyo kwa kila mtayarishaji anatamani kuwa kama Ray kwa kila kitu lakini kwa upande mwingine inakuwa ngumu.
Hata kuna baadhi ya wasanii wamekuwa wakitumia nguvu ya msanii huyu kujihalalishia mambo Fulani Fulani, kwetu sisi Ray ni Shujaa katika tasnia ya filamu jamaa ana mambo mengi ambayo jamii inatakiwa kuiga kutoka kwake ni mjasiriamali, mpiganaji asiyechoka.
Lakini pia ni mtu mwenye msimamo kwa kile anachoamini jambo ambalo limekuwa ni chachu ya maendeleo yake katika utendaji wa kazi zake za filamu na maisha kwa ujumla.
Mwaka huu tunaanza na uchambuzi huu wa kuwatambua wapiganaji wanaoleta changamoto katika filamu Bongo, kwani yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza hata kugundua kuwa ili uuze kazi yako inaanzia kwenye muonekano kwa kulitambua hilo alimgundua bingwa wa makava Bongo Raqey na kumpatia kazi hiyo.
Hadi sasa ili msanii mkubwa filamu yake iweze kuingia sokoni kwa uhakika lazima kava lake litengenezwa I View Media, lakini Ray amekuwa akigundua vipaji vipya kila leo na kuvipa uhusika jambo ambalo limezidi kuongeza wasanii katika tasnia ya filamu, mambo ni mengi kutoka kwa mtu huyu.

the second wife
Lakini ndiye msanii pekee ambaye hata ukimkosoa anaweza kutumia busara kuongea na wewe na kujadili jambo husika, kulingana na mfumo uliopo unawabana sana wasanii kujitanua zaidi kimaslahi jambo ambalo linapunguza utendaji wao, bila uoga wala chuki tunasema kuwa Bila Ray Hakuna Bongo movie kwa maana ya filamu.



CHANZO; FILAMU CENTRAL
Asante!

Posted by Bongo Film Data Base on 12:42 PM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for FILAMU CENTRAL; BILA YA RAY HAKUNA BONGO MOVIE

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

HABARI MPYA INAVYOSEMEKANA WADAU
KUTA ZA FACEBOOK

WASAMBAZAJI HEWA

Wasambazaji hewa ni yupi kati huyu? A.Steps B. Proinkiini cha taarifa za filamu bongo...

19 Jun 2016 / 0 Comments / Soma zaidi

FILAMU ZA BONGO NI MAIGIZO YA MAISHA YA WAPI?

kiini cha taarifa za filamu bongo...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi

YASEMEKANA HUU NDO MWANZO NA ILIPOANZIA VAMPIRE DIARIES

The Vampire diaries tamthilia yakusisimua sana iliyojizolea mashabiki kibao hapo nchini na mataifa mengi dunia inasadikika kuwa mwanzo w...

28 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

BADO SIKU CHACHE TU! karibuni wadau wote

Asanteni sana wadau wetu kwa kutuunga mkono siku zote hizi tangu tuanzishe kurasa wetu huu wa Bongo Film DataBase..Tumesikiza na tuanyafa...

25 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
FILAMU MPYA

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

SIMULIZI

SIMULIZI SEHEMU YA PILI

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA..Bofya kiunga h...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI NA ADELA KAVISHE

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA.. Bofya kiu...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
BOLLYWOOD

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi
BONGO MOVIE

MONALISA, KING MAJUTO NA BARAFU NDANI YA DALADALA MOJA

Mwigizaji Yvonne Cherryl au mwite Monalisa kupitia ukurasa wake facebook amepost picha kadhaa zikimwonesha yeye na waigizaji wenzake...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

DUME JEURI NI MKOMBOZI NA IMEIBUA HISIA CHANYA KWA WALIOPUUZWA

Uwezo wa msanii huzihilika pale apewapo nafasi bila kutiliwa shaka nae hujisikia ni msanii muhimu kwenye kuikamilisha filamu mpaka i...

25 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
SERIES KALI

ZIJUE SERIES ZILIZOTAMBA NA ZINAZOBAMBA KWA SASA UKIANZIA NA YA ARROW ( Eps 1 )

Katika nyumba tano hapa mjini kwa sasa iishiyo vijana wapendao filamu zitokazo hollywood basi nyumba mbili kama sio tatu katika ya hizo ...

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA NA KUANDAA SCRIPTS MUUNDO WA HADITH SEHEMU YA PILI  2. MUUNDO WA ENE...

01 Feb 2012 / 2 Comments / Soma zaidi

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign