WINO WA MWANDISHI

MZEE MAJUTO: WASANII WOTE HUSAFIRIA NYOTA YANGU

Iko wazi kabisa si kipaji tu cha mzee majuto ndicho wasanii wenzeka katika tasnia ya maigizo hapa nchini wanakihitaji katika filamu zao...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi
WINO WA MWANDISHI

MJUE VILIVYO HASHIM KAMBI

Kama unafuatilia sanaa ya filamu nchini Tanzania, sina wasiwasi kwamba sura unayoiona hapo juu unaitambua. Unachoweza kuwa hukijui ni j...

09 Aug 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

WASANI WAUNGANA NA KUTOA TAMKO RASMI JUU YA SHERIA MPYA ZA UTAYARISHAJI FILAMU NCHINI

Chama cha waaigizaji nchini kupitia waakirishi wake waishio mkoani dar es salaam waliokutana jana tarehe kumi na sita kwenye mkutano ambao uliyotakiwa ufanyike tarehe kumi na mbili na kuhailishwa kutokana na msiba ulioikumba tasnia ya filamu kumpoteza mzee na mwasisi bwana saidi fundi ( mzee kipara).

Awali wa yote bongo Film Data Base  tunaipongeza  bodi ya ukaguzi filamu  hapa nchini kwa namna moja ama nyingine  kuwaleta wasanii  taklibani wote kwa pamoja na wao kusahau tofauti zao za nyuma zilizo kuwa zikifukuta kwa chini chini kati yao yaani wasanii waliokuwepo Tanzania Film Federation (Taff) na wasanii waliopo Bongo Movie ,mh! kumbe mambo yakimfika mtu hulazika kutafuta nguzo ya kusimami na yeye apate ulinzi wakutosha nakupaza sauti yake enh?!

Haya wadau wa tasnia hii ya maigizo twendeni kazi sasa na tuache mambo haya ya bifu na mpasuko kwani hayana nguvu kupinga hoja za msingi kama hizi za kisheria kutoka serikalini sisi twasema  na kusisitizia juu ya hili tu ajamani ila huu ni wakati sasa wakutumia nguvu zenu nyingi na busara yakotosha  kufanikisha  hili na kujiwekea mazingira mazuri ya ufanyaji kazi zenu...twendeni moja kwa moja kwenye lile lililojiri hapo ukumbi wa vijana.

  Kikao kilianza saa tatu asubuhi na  kwa mujibu wa taarifa za awali zilizosambazwa na chama cha waigizaji mkoa wa dare es salaam  kwa uma kupitia vyombo vya habari mbali mbali ukiwemo ukurasa huu wa Bong film Data Base.awali wa  kikao hicho kilitawaliwa na kejeri,dharau na majigambo kutoka  kwa  baadhi ya wasanii walipo simama kuchangia mada zilizotolewa, hali ilikuwa si shwari kabisa kwa kila aliye simama kuzungumza lolote kuhusiana na jambo hili, aliyechangia  alitoa kauli moja tu '' KANUNI NA SHERIA HIZI HAZIFAI NA  HATUZITAKI!!''

Kauli hii imtoka kila aliye sisima kuzungumzia hili tena ikiwa katika hali ya jaziba nzito sana, baada ya muda fulani mambo yalitulia kwenye majira ya mchana baada ya kila mmoja kuzipitia kanuni na sheria hizi vizuri ambazo zilizokuwa zimechapishwa kwenye karatasi kadhaa na kugawiwa kwa idadi kubwa ya wasanii waliokuwa wamefika nyakati za asubuhi pale kikao kilipokuwa kinaanza.

Mara baada ya hali kuwa shwari sasa na wasanii kuanza kuzungumza bila jaziba  walizungumza mengi sana kuhusiana na Bodi ya Filamu,Basata na Cosota kama ifuatavyo;

WAENDESHA KIKAO HIKI TOKA MEZA KUU AMBAPO MWENYEKITI WA KIKAO HIKI BWANA MIKE SANGU ALIREJEA NA KUZIELEZEA KWA UFUPI KANUNI NA SHERI HIZI MARA KWA MARA, KIPENGELE CHA GHARAMA KILIONEKANA NDICHO KILIWARUSHA ROHO NA KUWAOGOPESHA WENGI ZAIDI...

MIKE SANGU  ALILAZIMIKA KUFAFANUA KIPENGELE CHA GHARAMA TENA KAMA IFUATAVYO;

 Bodi ya ukanguzi filamu nchini kukagua flamu Gharama ya ukaguzi kwa saa moja ni shilingi elfu sitini (60,000) za kitanzania kwa kawaida na shilingi laki moja (100,000) kwa haraka zaidi  za hizi ni gharama hutumika kwa watayarishaji filamu wa ndani ya nchi na watayarisha wa kigeni hulipa dola za kimarekani hamsini 50$

 kibari cha upigaji picha hutolewa kwa wazawa kwa shilingi laki tano (500,000) na kwa wageni itawagharimu dola elfu moja (1000$)

 Gharama zipo nyingi zilizoainishwa kwenye kanuni na sheria hizi ikiwemo na shilingi elfu tano (5'000) kwa kila chapisho la tangazo litakalo bandikwa mtaani litangazalo filamu ama kazi ya aina yeyeto ya sanaa (poster)

Mh! wacha nigune kimya kimya mie, maana kelele zilivyoibuka kila pembe ya ukumbi wa vijana pale kinondoni ilikuwa si mchezo.....

WASANII NAO WALIKUWA NA HAYA 

John Rister;
  •      Bodi ya ukaguzi filamu  ni chombo kikubwa sana kuongozwa na watu sita tu ni makosa makubwa sana, hivyo serikali anafungua milango mingine mipya ya wala rushwa kwani hawa watumishi wake sita tu hawawezi kukagua miswada(script) na filamu zilizo kwisha tayarishwa na watayarishaji zadi ya mamia ndani ya mwezi mmoja.
  • Bodi ya Filamu inaingilia kazi za mamlaka ya ukusanyaji kodi nchini (TRA)
  •                (SHERIA NA KANUNI HIZI  HAZITUFAI!)   
  •                 
Single Mtambalike;
  • Bodi ya ukaguzi wa filamu kukagua kazi zetu ni jambo zuri, la msingi na itaonesha ukomavu wa tasnia yetu ila nina shaka kubwa sana kama jopo hili la hapo bodi ya ukaguzi wa filamu na idadi yao hiyo ya watu sita kama wataweza kuacha ofisi yao na kuungana nami kwenda kukagua eneo ninalo kwenda kupigia picha huko mwanza ama tanga vijijini...si dhani!! waache kutudanganya..
  • Bodi inafanya kazi zinazotakiwa kufanywa na shirikisho la filamu nchini (Taff) 
  •               (SHERIA NA KANUNI HIZI  HAZITUFAI!)



Myovela Mfwaisa;

  •    Serikali tulionayo leo hii ndiyo ile iliyokuwepo miaka kumi hadi kumi na tano ilyopita hali kadharika sheria na kanuni hizi zilikuwepo pia, swali la kujiuliza hapa kwanza ni kwamba!,kwanini hawakuzipa mpawa na nguvu kiasi hiki siku za nyuma?
  • mie na weza sema  wasambazaji filamu nchini ndiyo chanzo wa yote haya tunayoyaona kwa sasa, wasambazaji huingiza filamu nne hadi tano ndani ya mwezi mmoja na zote kufanya vizuri sokoni hivyo nilazima serikali itizama vizuri kona hii..kiukweli mie sishangai kuona hili, serikali inataka kodi na mapato yake yaongezeke jamani!
  •    (SHERIA NA KANUNI HIZI  HAZITUFAI!)


Chikoka;
  •     mimi binafsi nazikataa gharama  zote zilizopo kwenye sheria na kanuni hizi kutoka Bodi ya filamu.
  • kanuni hizi kiukweli zinatugandamiza na kamwe hatuta kwenda popote pale zaidi ya kuchezea sakafu ya hapa Tanzania, mfano mie nina rafiki yangu kutoka nchini India atashindwa kuja kufanya kazi hapa nchini na mwishoe kazi zetu hazita kwenda mataifa ya wenzetu kamwe!
  •  
                                          (SHERIA NA KANUNI HIZI  HAZITUFAHI!)
Chiki;
  • sheria na kanuni hizi ni batili kwenu kwani hatujashirikishwa kwenye utayarishaji wake.
                                     (SHERIA NA KANUNI HIZI  HAZITUFAI!)

Kanumba;
  • Bodi ya Filamu yapaswa kuundwa na baadhi ya viongozi wa Taff na bila ya kuwa hivyo mimi sina imani na bodi ya filamu kabisa...
  • mimi nina kampuni yangu ambayo nimesajari kunako husihuka na ninalipa kodi TRA hivyo sielewi  bodi natakiwa kuwalipa nini?
  • kwa upande wa kumomonyoka kwa maadili ya mtanzania kupitia filamu mimi na pingana nao kabisa kwani msanii anapovaa nguo fupi kwenye filamu ni kwa sababu amepaswa kuvaa hivyo kulingana na uhusika anaocheza na kulingana na mswada(script) unamtaka acheze.
  • kama kweli bodi ya filamu ina nia nzuri na tasnia hii ya filamu hapa nchini ni vyema kabisa ila walipaswa kuanza na kurudisha majumba ya sinema yalikuwepo sik za nyuma ambayo yalikufa kutokana na sheria na kanuni kali..
  •          (SHERIA NA KANUNI HIZI  HAZITUFAI!)  

Chaiba Kombo;
  •    Bodi ya Filamu inaingilia kazi zisizo wahusu kabisa
  • Na je? sheria hizi zimetizamwa kimataifa?
  • Yote haya yanawaumiza vichwa wasanii kwa sababu yakutokuwa na elimu nzuri juu saana wanaoifanya.
  • wasanii hawakushirikishwa kwenye uundaji sheri na kanuni hizi...
  • (SHERIA NA KANUNI HIZI  HAZITUFAI!)

HITIMISHO LA MKUTANO HUU TOKA MEZA KUU;
 1.Tutaiandika barua Bodi ya ukaguzi filamu nchini kupinga sheri na kanuni hizi kwa hoja zote zilizokusanywa kwenye mkutano huu.
2. hatuitambui bodi hii kwani haijahusisha watu wahusika kwa maana ya wasanii toka kwenye shirikisho letu hivyo bodi ivunjwe na kuundwa upya tena.

(SHERIA NA KANUNI HIZI  HAZITUFAI!) (SHERIA NA KANUNI HIZI  HAZITUFAI!)!!!!!

Posted by Bongo Film Data Base on 12:25 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for WASANI WAUNGANA NA KUTOA TAMKO RASMI JUU YA SHERIA MPYA ZA UTAYARISHAJI FILAMU NCHINI

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

HABARI MPYA INAVYOSEMEKANA WADAU
KUTA ZA FACEBOOK

WASAMBAZAJI HEWA

Wasambazaji hewa ni yupi kati huyu? A.Steps B. Proinkiini cha taarifa za filamu bongo...

19 Jun 2016 / 0 Comments / Soma zaidi

FILAMU ZA BONGO NI MAIGIZO YA MAISHA YA WAPI?

kiini cha taarifa za filamu bongo...

01 Jul 2014 / 0 Comments / Soma zaidi

YASEMEKANA HUU NDO MWANZO NA ILIPOANZIA VAMPIRE DIARIES

The Vampire diaries tamthilia yakusisimua sana iliyojizolea mashabiki kibao hapo nchini na mataifa mengi dunia inasadikika kuwa mwanzo w...

28 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

BADO SIKU CHACHE TU! karibuni wadau wote

Asanteni sana wadau wetu kwa kutuunga mkono siku zote hizi tangu tuanzishe kurasa wetu huu wa Bongo Film DataBase..Tumesikiza na tuanyafa...

25 Nov 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
FILAMU MPYA

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

SIMULIZI

SIMULIZI SEHEMU YA PILI

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA..Bofya kiunga h...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

SIMULIZI NA ADELA KAVISHE

DADA POA..SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU...SIKILIZA SIMULIZI HII YA KUSISIMUA, INAYOHUSU MAISHA YA MWANADADA ....MANKA.. Bofya kiu...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
BOLLYWOOD

BODY GUARD NI MIONGONI MWA FILAMU KALI TOKA ASIA MWAKA HUU.

  Body Guard ni moja ya filamu zinazopigiwa kura nyingi sana kwa mwaka huu na wafuatiliaji filamu hizi za kihindi....

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

GELLY WA RHYMES ATUPA KARATA NYINGINE KWENYE LIMBWATA

GELLY WA RHYMES Mwanamuziki/Mwigizaji LIMBWATA NI HADITHI YA BINTI MMOJA ALIYETOKA KIJIJINI KUJA MJINI KUTAFUTA AJILA  NA...

17 Nov 2012 / 0 Comments / Soma zaidi
BONGO MOVIE

MONALISA, KING MAJUTO NA BARAFU NDANI YA DALADALA MOJA

Mwigizaji Yvonne Cherryl au mwite Monalisa kupitia ukurasa wake facebook amepost picha kadhaa zikimwonesha yeye na waigizaji wenzake...

26 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

DUME JEURI NI MKOMBOZI NA IMEIBUA HISIA CHANYA KWA WALIOPUUZWA

Uwezo wa msanii huzihilika pale apewapo nafasi bila kutiliwa shaka nae hujisikia ni msanii muhimu kwenye kuikamilisha filamu mpaka i...

25 Jul 2013 / 0 Comments / Soma zaidi
SERIES KALI

ZIJUE SERIES ZILIZOTAMBA NA ZINAZOBAMBA KWA SASA UKIANZIA NA YA ARROW ( Eps 1 )

Katika nyumba tano hapa mjini kwa sasa iishiyo vijana wapendao filamu zitokazo hollywood basi nyumba mbili kama sio tatu katika ya hizo ...

08 Apr 2013 / 0 Comments / Soma zaidi

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO

UANDISHI WA FILAMU NA MAIGIZO JIFUNZE NAMNA YA KUANDIKA NA KUANDAA SCRIPTS MUUNDO WA HADITH SEHEMU YA PILI  2. MUUNDO WA ENE...

01 Feb 2012 / 2 Comments / Soma zaidi

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign