MAONO YA HASSAN MASSANGYA JUU FILAMU ZA BONGO KUPITIA CINEMA HOUSE

Hassan Massangya ; HAKUNA UJUMBE MPYA KWENYE FILAMU ZETU ZAIDI YA USHAWI NA MAPENZI AMBOZO PIA NDANI YA HADITHI HIZO KARIBU FILAMU NYINGI DHANA HIYO YA MAPENZI ZIMEFANANA; IN SHORT NOTHING NEWWWW!!!!!!!........ YAAN BORA LIENDE..







 baada ya Hassan Massangya kuandika hilo wadau wengine hakuachia madaa ining'inie  hewani tu hivyo wakawa na haya ya kuchangia pia...


    • Hajeey Said ; Lol
      #concurs all the way
      October 21, 2011 at 11:21pm via mobile
       
       
       
       
       
       
       
       
       
       
    • Shah Native inahitaji uzalendo kutazama bongo movie hata dkd 20 tu za mwanzo.
      ndo filamu zetu lakini, tutafanyaje na wadau wamezipitisha
      October 21, 2011 at 11:35pm via mobile
       
    •  
       
       
       
       
       
       
      Hassan Massangya ; hv unajua hata wawekezaji kutoka nje hakuna kwa sababu hyohyo kaka... embu chek thailand waliovyojitangaza kwa sabab wana vtu vpwa,... inabidi tutafuta k2 ambacho ktatutambulsha sisi kama ndo utambulisho wa filam za kbongo... yaan nadhan umenpata nnachomaanisha.
      October 21, 2011 at 11:42pm · 1
       
       
       
       
    • Alex Ngaweje; ni kweli lakini kuna filamu moja ya kanumba amemshirikisha ransey noah wa nigeria inaitwa DEVIL kINGDOM angalau wamejitaidi hakuna ujumbe wa mapenzi yamejadiliwa maswali muhimu kuhusu dini, mungu mambo ya imani, ukiangalia unaweze usiende kanisani au msikitini tena angalau wamejitaidi inawezekana wamefuatisha DA VINCI CODE ya tom hanks
      October 25, 2011 at 11:55am
       
       
       
       
    • Shah Native; Hiyo Filamu mpya ya Kanumba nimeitazama. its too philisophical, na wamejitahidi kiasi. Tatizo ni kwamba, hiyo filamu dialogue ni nyingi sana utafikiri mchezo wa radio. Yani unachek onesho moja ambalo limejaa mazungumzo zaidi ya dakika 25. Ni bora wangeandika Kitabu!
      Pili, filamu na Idea yake imefosiwa sana. Visa vingi na matukio yasiyo na Uhalisia. though, concept ni nzuri na nimependa upigaji picha kidogo.
 

Posted by Bongo Film Data Base on 9:46 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

4 comments for MAONO YA HASSAN MASSANGYA JUU FILAMU ZA BONGO KUPITIA CINEMA HOUSE

  1. Tnarudi Palepale bila shule itakua hivyo hivyo, pale nimepanda na hapa dialogue nyingi. Kama mtu ataandika filamu yake kitaalamu hayo mnayoyakosoa hayataonekana. Wacheni kupiga kelele ingieni mashuleni mtayagundua makosa yako wapi na filamu bora zitapayikana. hakuna cha uzalendo wala nini Tanzania tunatia aibu...

  2. This comment has been removed by the author.

  3. shule zinazofundisha utayarishaji filamu kwenye viwango vya kimataifa hapa nchini kwani zipo wapi?

  4. Mimi naona afadhali ujue kwanza filamu bora hutokana na nini. Kila mtu anasema anafundisha filamu lakini utakuta anachofundisha ni maigizo badala ya uandaaji wa filamu huyo sio mwalimu wa filamu ni muigizaji...

    Ukikuta wanasomesha uandaaji wa filamu kuanzia Uandishi mpaka filamu kukamilika hao ni wakweli.

    lakini shule nyungi za filamu Tanzania hazifundishi hivyo.

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign