NATAKA KUIGIZA

Bongo film data base inaanza kuwasha tochi na nakuwaangazia  mwanga chipukizi na watu wenye ndoto za kuingia ndani ya fani ya uigizaji, uandishi wa script na mambo mengine mengi yanayohusiana na tasnia ya filamu.
kupitia kurasa ya facebook bongo film data base inakutana na  Jacquline Justinian binti mwenye ndoto ya kuigiza na anajitahidi kuwafahamisha wadau juu ya ndoto yake ya kushiriki kwenye filamu.
Jacquline ameipaza sauti yake  kupitia uwanja wa mmoja ya waandishi wa miswada wakubwa hapa nchini tanzania ajulikanaye kwa jina la Ali Yakuti na sauti iliyojaa shahuku kubwa ya kutimiza ndoto yake ilisikika kama ifuatavyo hapo chini..
Jacquline Justinian;  Hellow! kwakeli napenda sana kaz unazotengeneza mana namimi napenda kuwa muigizaji but cjapata nafasi...big up mkaka.=> Ali Yakuti
KAMA NA WEWE UNA NDOTO YA KUSHIRIKI KWENYE SHUGHULI ZA KUANDA NA KUTAYARISHA FILAMU KAMA  DADA JACQULINE JUSTINE TAFADHALI TUANDIKIE KUPITIA 0719719316 AU bongofilm@hotmail.com NA SISI TUTAZIPA MAPAWA NDOTO ZAKO ZIWEZE KUWAFIKIA WADAU WENGI ZAIDI BILA GHARAMA YEYETO ILE...  karibuni.

Posted by Bongo Film Data Base on 9:15 PM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for NATAKA KUIGIZA

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign