HISSAN MUYA KIJANA NA MWIGIZAJI MWENYE NAFSI YA KUTHUBUTU AJA NA GONGOLAMBOTO SASA BAADA YA KUSHIDWA KUFANIKISHA NA FILAMU ZAKE ZA SHOGA NA LOLIONDO
habari, kinyemi, slide, udaku 1:51 PM
Akiongea na FC mtayarishaji na mwandishi wa filamu hiyo Octa amesema kuwa filamu hiyo imerekodiwa katika mkoa wa Morogoro huku lengo kubwa likiwa ni kutoa fursa kwa wasanii wachanga kutoka katika mkoa huo na kupanua tasnia hiyo kwa kusonga mbele zaidi walioshiriki katika filamu hiyo ni Muhogo Mchungu, Tino, Otilia Joseph, Muhogo Mchungu aliongelea filamu hiyo kwa ufupi.
“Filamu hii ya Gongolamboto ni kazi ambayo imenileta upya katika tasnia ya filamu ni kazi ambayo hata wakati naigiza nilikuwa nasikia raha na kuhisi mwandishi wa filamu hii kama alikuwa ndani ya akili yangu na kunipa uhusika ulioendana na mimi kabisa napenda kutumia nafasi hii kumpongeza sana Octa na waandishi wengine waige mfano wake wakuandika hadithi zetu,”anasema Muhongo Mchungu.
Chanzo;filamu central
Tweet