WADAU TWAOMBWA KUMCHANGIA SAJUKI



Habari wadau asante Zoezi linaendelea SHUKRANI KWA 

WALE WOTE WALIOGUSWA.

TUMCHANGIE SAJUKI KWA A/C NO. 050000003047 Akiba 

Commercial Bank pia Tigo Pesa 

0713 666 113. Umoja, Upendo tuungane wote.

WADAU wa tasnia ya filamu Swahiliwood tunaomba 

msaada wa hali na mali kwa ajili ya 


matibabu ya mtayarishaji, muongozaji na mwigizaji mahiri 

katika tasnia ya filamu Juma 

Kilowoko ‘Sajuki’ , msanii wetu huyo amekuwa 

akisumbuliwa na maradhi ya tumbo, hivi 

karibuni alikuwa nchini India kwa ajili ya matibabu na kurudi 

nyumbani.

Posted by bongofilmdatabase on 9:31 AM. Filed under , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for WADAU TWAOMBWA KUMCHANGIA SAJUKI

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign