BARCODE KUTAMBULISHWA KWENYE KAZI ZA SAANA SASA


Jukwaa la sanaa la basata jumatatu hii ya tarehe 21/05/2012 saa kuanzia saa 4:00 mpaka 6:00 mchana kama kawaida  litakuja na mkakati kabambe wa namna ya  kudhibiti wizi wa kazi za sanaa kwa kutumia mfumo wa ''Barcode'' chini ya kampuni ya kampuni ya Global Standard 1...mkakati huu ni malidhawa katika kudhibiti uharamia katika tasnia ya sanaa.. basi njoo ujumuike  na uelimike samabamba na kuchangia katika mkakati huu wa kuikomboa sanaa yetu...Usikose kwa ni muhimu sana.

Asante!
(c)Bongofilmdatabase

Posted by bongofilmdatabase on 8:26 PM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0

0 comments for BARCODE KUTAMBULISHWA KWENYE KAZI ZA SAANA SASA

Post a Comment

LETS HOOK UP

.

.
.
slide

SIRI YA MTUNGI PHOTO CAPTION


Recently Commented

ALBUM YA BONGOFILM

SIMULIZI ZILIZOBAMBA KWENYE KURASA ZA KIJAMII

TAKE ONE -HBABA NA FLORA INTERVIEW

2009 Bongofilmdatabase. All Rights Reserved. - Designed by Oscar kwa ushirikiano wa SimplexDesign