MJUE VILIVYO HASHIM KAMBI
kinyemi, nyota, slide 9:59 PM

Kambi alizaliwa tarehe 21/10/1961(muda mfupi kabla ya Uhuru) huko mkoani Morogoro na alianza uigizaji mwaka 1999 baada kuchaguliwa na msanii Single Mtambalike ” Ritchie” kushiriki katika igizo lililoitwa Uhondo wa Ngoma uliorushwa na kituo cha Televisheni cha TVT kwa sasa TBC1. Huo ndio ukawa mwanzo wake katika fani ya uigizaji. Mpaka hivi leo, Hashim Kambi ameshiriki katika filamu chungu mbovu zikiwemo;
SIMU YA KIFO,
KIPUSA,
THE LOST TWINS,
KIPURI,
ZUADISWA,
HONEY MOON,
SURPRISE,
RIPPLE OF TEARS,
MISS CALL,
ROMANCE,
20%FURAHA IKO WAPI,
THE PASSION,
DAMU YA MJOMBA,
BWAGAMOYO,
BINTI NUSA,
SANDA NYEUSI,
BABU SEYA,
NGUVU YA MAPENZI,
PENZI LA BABA,
OLOPONG,
SILENT KILLER,
HUBA,
MY FIANCEE BORN AGAIN,
PRETTY GIRL,
DANGEROUS DEAL.
chanzo bongo celeb.