LULU AJINADI KUWA NI BIKIRA.
kituko 12:17 AM
Hata pale alipoulizwa kuhusu wanaume ambao iliwahi kuripotiwa kuwa ni wapenzi wake, mtu kama Ali Kiba alidai kuwa ni rafiki tu wa kawaida japo kuna wakati alidai kuwa hana marafiki wa aina yoyote.
“Unajua mara nyingi ni maneno tu ya magazeti ambayo hupenda kuniandika hivyo lakini mimi ni binti safi na sina mambo hayo ya wanaume bado mdogo mimi,”alisema Lulu.
Hata hivyo pamoja na kuongea hivyo lakini mavazi aliyokuwa amevaa yalipingana na kauli yake kuwa ni binti mwenye maadili mema, haya tena ukiyashangaa ya Mussa utayaona ya firauni.
kweli hiki ni kituko cha wiki